Recent content by Vitalis Konga

  1. Vitalis Konga

    Hatimaye jimbo la Ukonga lapata mrithi wa kweli baada ya kujitokeza Mr.Massoro Hussein

    Nakusubiri sehemu ujichanganye nikulipue Time will tell
  2. Vitalis Konga

    Kila penye rushwa tuuze au tubinafsishe?

    Na Askofu Bagonza 1. Rushwa Rushwa bandarini ndiyo imesababisha bandari ifanywe inachofanyiwa. Wakiishapeana rushwa, serikali inakosa mapato, mizigo inachelewa, inapotea, na bandari limekuwa pango la majizi. Swali ni je, kila penye rushwa tuuze? Tubinafsishe? Tukabidhi sekta binafsi? 2 ...
  3. Vitalis Konga

    Hili la Mbeya, wafanyakazi kuiba mapato ya Serikali, linasitua sana

    Huenda huu wizi ni nchi nzima Serikali chukueni hatua
  4. Vitalis Konga

    RC Adam Malima ashauri Serikali kuwa makini kwenye Mkataba wa DP World, ili tusipigwe kama kwenye Mikataba ya Madini

    "Sisi issue ni kuungalia huu Mkataba. That's Business, tusikae tukaamini kuwa wale ni wajomba zetu, wakiweka Mkataba Mezani Mkifanya Masihara mnapigwa. Inapaswa Sisi Kama Watanzania tuwe tumeshakaa kwenye Nafasi Nzuri, Wametupiga Wazungu kwenye Migodi Mbona Hatusemi? “Mwaka 1998 tukaingia...
  5. Vitalis Konga

    TANZIA Francis Mtega, Mbunge wa Mbarali afariki dunia kwa ajali ya bodaboda

    Mungu ameanza kuchukua watu wake mmoja mmoja baada ya mwingine baada ya kutoka bungeni Kuridhia na kupitisha makubaliano/Mkataba na DP WORLD. Watanganyika na bandari zetu tumekaa paleee tunasubiri DP WORLD wagharamie mazishi ya mpendwa wao.
  6. Vitalis Konga

    Car4Sale Nauza magari ya aina mbalimbali

    Brevis ni gar ambayo haiuziki kirahisi rahisi Kama vipi wewe komaa nayo mwenyewe.Labda uwapate jamaa wa madini Critical thinker hawezi nunua
  7. Vitalis Konga

    Nimekaa ushuani kwa miaka mingi, sasa nimehamia uswazi. Kuku wa huku wataniua

    is it true that the government of Dubai can sign an inter government agreement with foreign countries without federal government of UAE? No, it is not accurate to state that the government of Dubai can sign intergovernmental agreements with foreign countries without the involvement or approval...
  8. Vitalis Konga

    Hii hatari sana; Serikali haijaona Mwalimu hata mmoja kuwa balozi wa mazingira?

    Duh Mh Jaffo yaani kweli kabisa hujaona hata mwalimu mmoja nchi nzima kuwa balozi wa mazingira? Walimu hawahawa ndio wanawasimamia wanafunzi kupanda miti wakati wa mvua na mingine inapandwa through out of the year wanamwangilia. Mmegeuza walimu watu wa kusimamia uchaguzi tuu ipo siku kwa...
Back
Top Bottom