Recent content by visiouzzz

  1. V

    Kibanda ajitoa kamati ya Nchimbi...

    Nilisikitika sana niliposikia kibanda umeteuliwa kwenye kamati yamavazi, walikushusha hadhi sana na ndo ulikuwa mpango kabambe wa kufunga ndoa na serikali hii. Waache kina kusaga na sasa wakamchague hashimu lundenga ajaze nafasi yako. Mtanzania gani anataka kuwa na vazi lataifa by tha way...
  2. V

    Walimu wa Tanzania na mikwara ya kugoma

    Kila mwaka walimu wa tz wanatangaza mgomo husio fanikiwa, hii itakuwa mpaka lini! Walimu acheni mikwara ya kishamba,fanyeni maamuzi ya msingi . Kama ni noma na iwe noma ka vipi potezeeni.
  3. V

    Makubwa - Mbunge ashiriki chakula cha Krismasi na wafungwa

    So what! Kunawabunge wamelala gerezani, kula kitugani! Siasa za kijijini hizo.
  4. V

    Waziri bora na bomu kwa mwaka 2011 katika serikali ya JK

    Kunamtu anaitwa maembe,yaani kichwa ni maembe mtupu. Naye eti ni waziri,
  5. V

    Bastola ‘yamvuruga’ Malisa wa UVCCM

    yeye alienda wapi akamwacha deleva saa saba ucku!
  6. V

    Wafuatao wanampinga Lowassa ndani ya CCM kuwa mgombea urais 2015

    lowasa kuwa raisi wa tanganyika kaskazini na si tanzania.
  7. V

    Vyuo hua vina matter katika kuajiri?

    Labda kabla cjakujibu niulize kidogo! if u whr an employer na watu wa 2 wameapply wenye sifa sawa unazo zitaka na mmoja amesoma chuo ulicho soma na mwingine chuo tofauti,je ungemchuka yupi kati yao? tafakari!
Back
Top Bottom