Hilo nalo neno mkuu appoh! Umesema "..mafiga matatu.." unaweza nijuza au kudadavua ni yapi hayo ili sasa niwe na uwanja mpana wa kujipima ni wapi ninaangukia?
Hilo nalo neno mkuu appoh! Umesema "..mafiga matatu.." unaweza nijuza au kudadavua ni yapi hayo ili sasa niwe na uwanja mpana wa kujipima ni wapi ninaangukia?
Hilo nalo neno mkuu appoh! Umesema "..mafiga matatu.." unaweza nijuza au kudadavua ni yapi hayo ili sasa niwe na uwanja mpana wa kujipima ni wapi ninaangukia?
Hilo nalo neno mkuu appoh! Umesema "..mafiga matatu.." unaweza nijuza au kudadavua ni yapi hayo ili sasa niwe na uwanja mpana wa kujipima ni wapi ninaangukia?
Hilo nalo neno mkuu appoh! Umesema "..mafiga matatu.." unaweza nijuza au kudadavua ni yapi hayo ili sasa niwe na uwanja mpana wa kujipima ni wapi ninaangukia?
Hilo nalo neno mkuu appoh! Umesema "..mafiga matatu.." unaweza nijuza au kudadavua ni yapi hayo ili sasa niwe na uwanja mpana wa kujipima ni wapi ninaangukia?
Ahsante sana mkuu HorsePower kwa ushauri wako. Khsiana na hilo suala la kwenda kuwaona wanasaikolojia nadhani itakuwa ni vyema zaidi, sasa mkuu kama kuna mwanasaikolojia mzuri unayemfahamu ambaye anaweza kushughulikia hili suala tafadhari nakuomba usisite kunifahamisha & unaweza hata ukani PM pia.
Heshima kwenu wakuu. Ni takriban miaka 2 sasa nikiwa na mahsiano ya kimapenzi na binti mmoja ambaye nathubutu kusema ni mzuri na mrembo. Pamoja na hilo, imekuwa ikiniwia vigumu sana kumuelewa huyu binti; kwanza kabisa amekuwa ni mtu ambaye hapendi kufanya tendo la ndoa na kama tutataka kufanya...
Haya ndiyo matokeo madogo ya serikali za nchi nyingi za kiafrika kuongozwa na viongozi ambayo mioyo yao imejaa kutu za ubinafsi. Hv sasa kiongozi/viongozi wetu anataka/wanataka kila kitu kielekezwe ukanda mmoja; bandari, viwanda, gesi, IFM na uwanja wa ndege vyote Bagamoyo! Hii sio sawa, haki na...
It seems that you're one among of those people who shall be eating their words bcause the guy is unfortunately and unluckly westing his time and mones for sure, I can bet my life on this!
blueray na by default ebu twambieni ninyi mumefanya vitu gani vya kujitafutia umaarufu hata huo tu mnaouita kuwa ni "cheap popularity" ni nini mumekifanya??!!! Acheni utoto na ufinyu wenu wa kifikira!
blueray na by default ebu twambieni ninyi mumefanya vitu gani vya kujitafutia umaarufu hata huo tu mnaouita kuwa ni "cheap popularity" ni nini mumekifanya??!!! Acheni utoto na ufinyu wenu wa kifikira!
Huyo hana lolote hapo sana sana nachokiona mimi ni kuwa huyo bwana ni mzinzi, mwasherati na mkware kama walivyo wakuu wa mikoa wengine pamoja na watendaji wengine wengi tu wa serikali yetu! Hivyo anaposikia jina la huo mto anaona kama anasemwa yeye kwa tabia yake hiyo chafu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.