Nikweli mkuu watanzania sote ni ndugu...haya mambo ya udini si yakupewa nafasi pia hata kuyaongelea sana ni kuyapa nguvu!...chamsingi washauri wa hawa viongozi wetu wawe makini kuwaelekeza watu wao kipi chakusema kulingana na mazingira na nafasi zao..
hakika...
Naona tatizo upande wa pili wimbo wa Ufisadi hauna nguvu sana Na unaelekea kuchuja masikioni mwa wasikilizaji...sasa nguvu kubwa inaelekezwa kwenye udini...utakuta hata naibu waziri anashiriki kusambaza huu upuuzi kwe mitandao kwangu mi naona si sawa
KWA MSAADA WA MOLA HILI NALO...
Duh...hivi na vile viapo wanavyoapaga viongozi wakiwa wanaanza kazi eg:Rais,wabunge, etc huku wameshikilia Biblia/Msahafu na kuinua mikono juu huwa vina nguvu ?
Kwa dhambi ya kinywa chao, Na kwa neno la midomo yao, Wanaswe kwa kiburi chao, Kwa ajili ya kulaani na uongo wasemao.
Uwakomeshe kwa hasira, Uwakomeshe watoweke, Wajue ya kuwa Mungu atawala katika Tanzania, Na hata miisho ya dunia.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.