Mimibaba
JF-Expert Member
- Jul 1, 2009
- 4,557
- 1,291
What a lame statement; sawa mkuu, endeleeni kujuana, kwani ccm ina wenyewe au sio;
Pole sana mkuu. Umesikia kutoka kwa wenye chama "wewe sio". Usiache imani yako kwa kauli za watoto wa wakubwa wasio riziki. Ila kumbuka ukishindwa kuwaelewesha watakulazimisha uwaelewe ili wakutumie. Naamini haitafikia kiwango hicho keep it up to stand for what you think and believe.