Recent content by Vishu Mtata

  1. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    Umri wowote ila ujanani nadhani mwili unakua active zaidi kutoa visivyohitajika na kinga kua na hali nzuri ikiwa afya yako ni njema lakini. Na kizuri au kibaya ni kua afya zetu hazifanani, usiige wala kufata mkumbo kwenye suala lihusulo afya, usishindane kunywa,kula, kuichapa au kuchapwa...
  2. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Wakongwe wamerudi kwenye gemu, Kizazi Kipya mmeona jinsi age go tulivyokuwa tunainjoi mziki mzuri?

    Wamekumbukana wao kwa wao na kuanzisha kitu ila sidhani kama kuna promota anaweza andaa show kwa ajili ya hao jamaa.
  3. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Biashara ya madawa ya kulevya aina ya pombe inafaida sana kwa serikali.

    Bado wadogo, hawako njema kiuchumi. Wanadonoa tu. Wakifika 40 tutaongea lugha moja.
  4. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Chupa zilizojaa mkojo zaidi ya 2,000 zakutwa ndani kwa mama ntilie jijini Arusha

    Hukohuko kuna yule mwamba alikua na chupa kibao na ndoo kibao kajaza kinyesi. Na anahojiwa anajibu normal kabisa as if ni kitu ya kawaida. Sijui huwa wanalala vipi na hiyo harufu. Dr. Mariposa kikwapa tu kinatukutoa roho, utaweza harufu ya kojo la miaka?? Au ndo ungekuwepo ungewatia mibisu ya...
  5. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Chupa zilizojaa mkojo zaidi ya 2,000 zakutwa ndani kwa mama ntilie jijini Arusha

    Chuga sasa hivi imekua kama Mbeya miaka ile. Matukio kibao ni bandika bandua.
  6. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Basi mpe taarifa mzee wako, yeye atajua afanye nini. Kama kwake ni kosa basi atamtimua na kumrudishia kodi iliyobaki.
  7. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Biashara ya madawa ya kulevya aina ya pombe inafaida sana kwa serikali.

    Wakikua watakunywa tu, wengi wao bado wadogo.
  8. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Dalali hakumtonya mzee wangu kuwa mtu anayetaka chumba ni shoga

    Tafuta ushahidi uthibitishe, usihukumu kwa maneno ya watu tu.
  9. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Kazi ya udereva

    Tafuta gari, dereva huyu hapa na tingo unakua wewe.
  10. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Israel ilivyomuokoa Trump mikononi mwa mahasimu wao wa Iran ambapo Trump alikuwa auwawe

    Wazee kwa kutafuta visingizio hawajambo na wamelikuza kwelikweli. Hapo watajishambulia waseme ni jaribio la Iran na hawatalifumbia macho.
  11. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Mdogo wangu Eeh! Kuoa mwanamke ambaye familia yake imekuzidi kila kitu ni mtihani sana. Usithubutu!

    😀😀😀 Poor Brain ananimaindi ninemmkataa mshangazi wake aisee.
  12. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Utundu ukizidi sana kitandani inakuwa kero

    Daaah kaka mbona unanitusi? Nikikufungulia mashtaka una ndgu anaeweza kulipa milioni ukatoka? Muulize Poor Brain mimi ni kamanda kikosi gani.
  13. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Hawezi kukuelewa huyo, ashakalilishwa banda umiza kua Shasha man hamna kitu, kalibeba hivohivo.
  14. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Huyu Peter Shalulile ni kiporo cha ugali, usajili wake ni wa mhemko tu, hamna mchezaji hapo

    Usikate mkuu, wewe ni shabiki maandazi. Game 2 tu tayari ushaona kiwango cha mchezaji ambae hukua unamfatilia kabla? Huo ndo ushabiki maandazi wenyewe.
  15. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Kama 2PAC alikufa akiwa na miaka 25 basi wenzetu uko USA hupata fursa wakiwa wadogo sana

    Kwa Trump mbali mkuu, watu wa kawaida tu wanaanza kujitafuta wakiwa na maarifa na wamemaliza vidato wakiwa na umri mdogo tu. Huku chuma kinamaliza chuo hamna hamna kina 24 yrs.
Back
Top Bottom