Daah serikali ina kazi sana, kuna jamaa mmoja nae alileta uzi kua wenyenyumba wasipandishe kodi, serikali iingilie kati.
Huyu nae maji anatumia yeye na familia yake, akija kudaiwa anataka serikali iingilie kati aloo.
Ishu ndogo kama hiyo wala sio ya kupelekana kwa mamlaka eti msuluhishe, ni...
Hawataki kazi ngumu, wanadhani kuna hela rahisi rahisi.
Wapo wasiochagua kazi ila elimu waliipa kisogo, vikazi vya siku hizi hivi ni ujanja ujanja na uongo na ukweli.
Mtu ana kacv ka ajabu tu ila unamkuta ni kaboss mtoto mahala, kikubwa kaua form 4 na ametengeneza kacv uchwara basi.
Hizi ofisi...
Hata mimi nikikwama kuna watu siwezi wapiga mzinga wowote kwa jinsi walivyo na majukumu mazito.
Ila mtu kama wewe unaweza ahirisha kuchapa balimi 2 ukamsaidia ndgu yako.
Hii ni jamii forums, elewa neno jamii.
Jamii ni pamoja na wewe, bahati mbaya/nzuri kwa Msechu ni kua yeye ni mtu maarufu, kuongelewa kwa umbo, sauti, maisha, ndoa nk ni takwa la mashabiki zake wamjuao.
Na bila shaka yeye karuhusu hilo ndio maana haoni shida kuliongelea mitandaoni, maisha yake...
Ukibatika kufika uzee na ukawa mnene namna hiyo na ni mwanaume hakyanani utapata tabu sana.
Kuna jamaa yangu husema kitambi ni uchafu, yani hilo tumbo umejaza nnya tupu.
Unene haufurahishi, unene unachosha, unakua mzito mzito kila wakati hata kunyanyw mguu, kukwepa hatari fulani ya gafla ni...
Unatutusi kaka, na kweli ukicheki movie jinsi wenye lugha yao wanavyoongea na kina sie wa kidum na fagio ni tofauti kabisa 😂😂.
Lugha yoyote ngeni kwako ni lazima tu utafamu zaidi ile formal/ya kiofisi zaidi ile ya mtaa mtaa utaijua ukiwa unaongea na watu wanaoijua vyedi lugha hiyo la sivyo ndo...
Hizo ndo changamoto zinakufanya ujiboost kwenda mbele, tumetofautiana malengo mkuu.
Kwa dsm pesa ipo, ila pia pesa inatumika sana, bush pesa ipo kiasi kulingana na shughuli zako na haitumiki sana ila pa kuwekeza ni mtiti, mtaji watu ni adimu.
Ukikosa mishe bush ni umekosa kweli.
Ukiwa mtaji...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.