Recent content by Vishu Mtata

  1. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenu wazazi wenye watoto wa kike

    Ukimbandua bado ni binti mwenye thamani, wewe uliembikiri ndie mumewe na ndie mwanaume wake wa kwanza, hana historia ya kubanduliwa zaidi yako. Tofauti kabisa na yule alipigwa miti na zaidi njemba 7 na wewe ukawa wa 8.
  2. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Mnazingua sana, bint 32 yrs eti mshngazi anadate na kijana ana 25 yrs, hapo kuna ushangazi gani sasa. Poor Brain huna miaka 45+ kwake ni chalii tu.
  3. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Mwanamke mzuri wa kuoa

    Shambulia pm ya jamaa
  4. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Kabisa mkuu hao 1996 hadi 2003/4 tayari washakua wamama.
  5. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mishangazi ya siku hizi ina njaa balaa

    Tatizo ni kua wanawake wanakua mishangazi kwenye umri mdogo, miaka 26 tu tayar anajipa hizo sifa kisa ana toto 3. Enzi zile mshangazi ni wale waliofika menopause, sasa hivi 35 tu anajipa cheo cha mshangazi. Poor Brain Marioos platform ambassador unaliongeleaje hili??
  6. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Kwenu wazazi wenye watoto wa kike

    Ndio ndio, bikra huongeza thamani ya binti.
  7. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Clouds FM ya zamani ilikuwa na ratiba nzuri ambayo ilikuwa inakushawishi kusikilza kuanzia asubuhi hadi jioni

    Mabadiliko ya vizazi huja na matokeo yake lakini pia hivi vyombo vya habari vinaathiriwa sana na siasa. Lazima wabadilike kuendana na upepo.
  8. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Mwanamke mzuri wa kuoa

    Daah 2 hrs no reply, pole kaka ila bila shaka pm inafukuta huko.
  9. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Kwanini matajiri wengi wakifikisha miaka 60+ huanza kurudi kwenye kilimo?

    Washaanza kupiga dili haranu nyingi, wanatakatishia pesa huko maana hizi bisahara zao za kila siku zinafahamika.
  10. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    Kama una uwezo wa kuoa we oa tu, maana hapo kiukweli hoja huna ni hisia zako tu na huna ushahidi wowote wa kumtia binti wa watu hatiani. Vipi ni bikra??
  11. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    Wewe hujampenda binti au hujamjua?
  12. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Nina wasiwasi na hii ndoa yangu. Nifanyeje?

    Kwa story yako mbona kama wazazi wa binti ndio wanapush ajenda aisee. Wanataka kutua mzigo gani? Vipi mmepima afya? Umefatilia historia yake na familia yake? Vipi mahusiano ya familia yako na yake yakoje? Weka ndani umpime, taraka zipo kiongozi, usijipe stress bure.
  13. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania HOJA Mazungumzo ya kuhamisha Wananchi wa Sinza yasifanyike kwa mafungu hotelini, tushirikishwe na uwazi uwepo

    Bora manzese imepakana na mburahati ila Tandale inatia aibu.
  14. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DIVIDE AND RULE: Mbinu ya kimedani inayotumiwa na single mothers

    Jamaa bila shaka amemuani singo maza hivyo anamtetea. Ila hili binafsi nimeprove mara kadhaa, labda wale wa miaka ya 90 ambao hawakua na uelewa mkubwa wa mambo ya uzazi ila sio sasa mkuu.
  15. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania DIVIDE AND RULE: Mbinu ya kimedani inayotumiwa na single mothers

    Ukichanganua unaelewa tu ni wapi alirisk mpaka akakubali kuzaa mkuu. Huko ndo alikopenda.
Back
Top Bottom