Recent content by Vishu Mtata

  1. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu wa kike anataka nimuoe, je tutakua tumefanya maamuzi sahihi?

    Kama ujawaju ex zake mzee mtaleteana jau tu humo ndani. Yaani unajua kabisa fulani na fulani waliichapa sio kweli.
  2. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Watu wanaofanya kazi na shetani kula watu wenzao

    Sasa si inajulikana wazi bosi anapata pesa kupitia huduma ya hao waajiri wake, huyo shetani kama ndio boss anapataje faida kifedha ili awarudishie asilimia kadhaa hao wafanyakazi akiwemo secretary??
  3. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Wanawake hatupendi wanaume wasio na hela!

    Kaka mwanao huyo, usimkatae
  4. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Kuna Vitu vinatisha wakuu.....

    Sili binadamu na jamii zote za nyani ila vingine nakula vyote visivyo na sumu.
  5. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Omba Mungu usifike huku

    Dogo umepitia magumu sana, ila ndio uanaume huo.
  6. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Civilian-Coin: FREEDOM is not only about Freedom of Speech and of Movement but also Freedom to access individual life and emotional freedom in Love.

    Ungesindikiza ujumbe walau na kibao chako kimoja kati ya vingi ulivyonavyo kiongozi.
  7. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Simu Inauzwa

    Unataka kuuza bei uliyonunulia na simu ushaitumia miaka 2?? Sio kwa ubaya ila hiyo bei na aina ya simu ni tofauti. Ingia kwenye groups za "vitu used" facebook, tangaza huko huenda ukapata mteja. Na ukiendelea kulia kua una shida utaiuza hata 10k.
  8. Vishu Mtata

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Usalama Nairobi: Tukio la Mchana Linalowafanya Wakenya Kuuliza Maswali

    Kwetu ni kiberiti tu na serikali imebariki kinamna fulani
  9. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Binti Ana Ujauzito wa Miezi 3, Sasa Wazazi Wake Wanataka Nikae Naye—Lakini Bado Sijajipanga

    Dadeki kategewa kajaa, mjini njoo na akili tu.
  10. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Watu wa Dar ni washamba

    Anatafuta kitiki cha kua "verified "
  11. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Watu wanaofanya kazi na shetani kula watu wenzao

    Acha janja janja basi, elezea huyo shetani anakupaje mali? Kwamba hatoi pesa na hana pesa ila ana hilo "wazo"??
  12. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Wanawake hatupendi wanaume wasio na hela!

    Poor Brain marafiki zako wanazidi kuongezeka, alikua haszu tu saivi kaongezeka na huyu.
  13. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Watu wanaofanya kazi na shetani kula watu wenzao

    Ulikua na maana gani kusema "anataka ndgu zako wa karibu kama mkeo na watoto"? Nachouliza ni kua huyo shetani yeye anaoffer nini? Mbna inaonekana hana nguvu mpaka anategemea binadamu wamfanyie, na umesema yeye halipi ila hao jamaa zake "royal family" ndo wanalipa. Na umedai yeye ni roho hana...
  14. Vishu Mtata

    JamiiForums Tanzania Watu wanaofanya kazi na shetani kula watu wenzao

    Sasa kama yeye hawezi fanya chochote anakuoaje hizo pesa? Hao royal family wanafaidika vipi na ww kutenda dhambi kumfurahisha shetani?? Au yeye shetani mali zake ziko wapi? Kama hawezi kua kama binadamu na akaua, hizo mali alizipataje na yeye ni roho tu bila mwili??
Back
Top Bottom