Ukimbandua bado ni binti mwenye thamani, wewe uliembikiri ndie mumewe na ndie mwanaume wake wa kwanza, hana historia ya kubanduliwa zaidi yako. Tofauti kabisa na yule alipigwa miti na zaidi njemba 7 na wewe ukawa wa 8.
Tatizo ni kua wanawake wanakua mishangazi kwenye umri mdogo, miaka 26 tu tayar anajipa hizo sifa kisa ana toto 3.
Enzi zile mshangazi ni wale waliofika menopause, sasa hivi 35 tu anajipa cheo cha mshangazi.
Poor Brain Marioos platform ambassador unaliongeleaje hili??
Kama una uwezo wa kuoa we oa tu, maana hapo kiukweli hoja huna ni hisia zako tu na huna ushahidi wowote wa kumtia binti wa watu hatiani.
Vipi ni bikra??
Kwa story yako mbona kama wazazi wa binti ndio wanapush ajenda aisee.
Wanataka kutua mzigo gani?
Vipi mmepima afya?
Umefatilia historia yake na familia yake?
Vipi mahusiano ya familia yako na yake yakoje?
Weka ndani umpime, taraka zipo kiongozi, usijipe stress bure.
Jamaa bila shaka amemuani singo maza hivyo anamtetea.
Ila hili binafsi nimeprove mara kadhaa, labda wale wa miaka ya 90 ambao hawakua na uelewa mkubwa wa mambo ya uzazi ila sio sasa mkuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.