Pole mkuu, kibunda samehe tu, ila kama huwezi mshawishi mrematch ila kama hujali kuhusu kibunda na kipo cha kuzidi.
La sivyo samehe uendelee kukandia mademu mitandaoni 😂😂
Anaonekana kupendwa na kukubalika mitandaoni, anatumia hiyo turufu kuzidi kuwahadaa. Bila ya kujua au makusudically kuwapa fame hao anaojifanya kupambana nao.
Mkuu mpeleke kwenye vyombo vya sheria upate haki yako!!.
Nasema hamna vielelezo maana wanaotapeliwa wengi hulipa bila kuhifadhi risiti, wanalipa kupitia mawakala wa mitandao ya simu nk.
Cha kwanza kabisa ni elimu kwenu watapeliwa, vipi wale wa "tuma kwa namba hii" wapo au hawapo??
Serikali...
Mzee kwa muundo wa serikali yetu ulivyo usitegemee makubwa, sijui vita, hizo hazipo ni waziri wenu anatumia hisia ila kiuhalisia hamna la ziada atalofanya.
Huyo Anko T anaemsakama hana ushahidi wa kumtia hatiani.
Utapeli wa namna hiyo hata serikali ni ngumu kuuzuia maana hawa watu wanapatana kinyemela, wanalipana kinyemela. Akipigwa tukio ndio anajitokeza bila vielelezo zaidi ya maneno.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.