Recent content by Vishu Mtata

  1. Vishu Mtata

    Kumbe ukinywa energy drinks huwezi sikia njaa

    Utaskia hiyo ni sumu, ila hata mimi ni mpenzi wa energy drinks.
  2. Vishu Mtata

    Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

    Unakubaliana na GENTAMYCINE kwamba wewe ni kilaza kisa ni bonge?
  3. Vishu Mtata

    Bei za maji katika Nyumba za kupanga ni mateso

    Daah serikali ina kazi sana, kuna jamaa mmoja nae alileta uzi kua wenyenyumba wasipandishe kodi, serikali iingilie kati. Huyu nae maji anatumia yeye na familia yake, akija kudaiwa anataka serikali iingilie kati aloo. Ishu ndogo kama hiyo wala sio ya kupelekana kwa mamlaka eti msuluhishe, ni...
  4. Vishu Mtata

    Vijana wa siku hizi ni wavivu na wanachagua kazi

    Hawataki kazi ngumu, wanadhani kuna hela rahisi rahisi. Wapo wasiochagua kazi ila elimu waliipa kisogo, vikazi vya siku hizi hivi ni ujanja ujanja na uongo na ukweli. Mtu ana kacv ka ajabu tu ila unamkuta ni kaboss mtoto mahala, kikubwa kaua form 4 na ametengeneza kacv uchwara basi. Hizi ofisi...
  5. Vishu Mtata

    Dogo amenikera mpaka nahisi kumchukia mazima

    Hata mimi nikikwama kuna watu siwezi wapiga mzinga wowote kwa jinsi walivyo na majukumu mazito. Ila mtu kama wewe unaweza ahirisha kuchapa balimi 2 ukamsaidia ndgu yako.
  6. Vishu Mtata

    Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

    Hii ni jamii forums, elewa neno jamii. Jamii ni pamoja na wewe, bahati mbaya/nzuri kwa Msechu ni kua yeye ni mtu maarufu, kuongelewa kwa umbo, sauti, maisha, ndoa nk ni takwa la mashabiki zake wamjuao. Na bila shaka yeye karuhusu hilo ndio maana haoni shida kuliongelea mitandaoni, maisha yake...
  7. Vishu Mtata

    Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

    Sure mkuu, unene sio mzuri kabisa na unatesa mno. Ukikaa na mtu mnene karibu utaona jinsi anapata tabu kupumua.
  8. Vishu Mtata

    Peter Msechu acha comedy kwenye afya yako, utakufa premature utuachie mkeo, watoto wako watateseka

    Ukibatika kufika uzee na ukawa mnene namna hiyo na ni mwanaume hakyanani utapata tabu sana. Kuna jamaa yangu husema kitambi ni uchafu, yani hilo tumbo umejaza nnya tupu. Unene haufurahishi, unene unachosha, unakua mzito mzito kila wakati hata kunyanyw mguu, kukwepa hatari fulani ya gafla ni...
  9. Vishu Mtata

    Klabu ya Simba yashika Namba Moja katika Vilabu Tajiri Zaidi Afrika Mashariki

    Mo ana ukwasi sana, kumiliki timu inayoongoza kwa mpunga Africa mashariki si kitu ndogo hiyo.
  10. Vishu Mtata

    Kiswahili fasaha kinatoweka

    Unatutusi kaka, na kweli ukicheki movie jinsi wenye lugha yao wanavyoongea na kina sie wa kidum na fagio ni tofauti kabisa 😂😂. Lugha yoyote ngeni kwako ni lazima tu utafamu zaidi ile formal/ya kiofisi zaidi ile ya mtaa mtaa utaijua ukiwa unaongea na watu wanaoijua vyedi lugha hiyo la sivyo ndo...
  11. Vishu Mtata

    TANZIA Mfanyabiashara Emilian Woiso afariki dunia

    Watu wa kaskazini ndo wameshika uchumi pembezoni mwa daslam na mjini kati manzese na mabibo.
  12. Vishu Mtata

    Nifanye biashara gani kwa mtaji wa laki mbili?

    Mbombo ngafu, ndio maana inasemekana idea ni muhimu huenda hata kuliko mtaji usio mtaji.
  13. Vishu Mtata

    Kwa sasa kuishi Dar es Salaam ni utumwa na mateso makubwa mno

    Madalali hawalimi ila wanawalangua kwa ushamba wao na kutojua masoko kisa kujichimbia ndichi.
  14. Vishu Mtata

    Kwa sasa kuishi Dar es Salaam ni utumwa na mateso makubwa mno

    Hizo ndo changamoto zinakufanya ujiboost kwenda mbele, tumetofautiana malengo mkuu. Kwa dsm pesa ipo, ila pia pesa inatumika sana, bush pesa ipo kiasi kulingana na shughuli zako na haitumiki sana ila pa kuwekeza ni mtiti, mtaji watu ni adimu. Ukikosa mishe bush ni umekosa kweli. Ukiwa mtaji...
Back
Top Bottom