Recent content by Vishu Mtata

  1. Vishu Mtata

    Laiti Ningelijua Mapema, Nisingelinunua Lile Shamba.

    Unauzaje hilo ambalo unalijutia??
  2. Vishu Mtata

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Wanapewa backup na mataifa yenye nguvu na matajiri wakubwa duniani. Kwa nchi ya kinafiki kama hii sio rahisi kufanya hivyo.
  3. Vishu Mtata

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Huko kwenye usenge asingeligusa, hakuwezi.
  4. Vishu Mtata

    Hakika msioe, ndoa imeangamiza ndoto na ndoa ni Janga

    Nyakati hizi inabidi taasisi ya ndoa iweje?
  5. Vishu Mtata

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Wanakupenda na kukuamini kwa mambo na matukio mengine tofauti na hili. Muda ni mwalimu mzuri, kila kheri kwenye mapambano na Anko T na nduguze.
  6. Vishu Mtata

    Mapenzi ni umasikini mtupu?

    Wewe sio Kazanazo kweli, mkipigwa matukio mnaanza kuzinanga mbunye
  7. Vishu Mtata

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Pole mkuu, kibunda samehe tu, ila kama huwezi mshawishi mrematch ila kama hujali kuhusu kibunda na kipo cha kuzidi. La sivyo samehe uendelee kukandia mademu mitandaoni 😂😂
  8. Vishu Mtata

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Anaonekana kupendwa na kukubalika mitandaoni, anatumia hiyo turufu kuzidi kuwahadaa. Bila ya kujua au makusudically kuwapa fame hao anaojifanya kupambana nao.
  9. Vishu Mtata

    Waziri mkuu Mwigulu Nchemba, tusaidie kuzuia huu wizi

    Mkuu mpeleke kwenye vyombo vya sheria upate haki yako!!. Nasema hamna vielelezo maana wanaotapeliwa wengi hulipa bila kuhifadhi risiti, wanalipa kupitia mawakala wa mitandao ya simu nk. Cha kwanza kabisa ni elimu kwenu watapeliwa, vipi wale wa "tuma kwa namba hii" wapo au hawapo?? Serikali...
  10. Vishu Mtata

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    Yaah akinusa geto ni kuliwa. Hawa Gen Z wanapenda hekaheka, usipowapa ukajifanya goodguy unaliwa dadeki.
  11. Vishu Mtata

    Vita dhidi ya ushoga: Waziri Gwajima amechagua silaha kali au butu?

    Mzee kwa muundo wa serikali yetu ulivyo usitegemee makubwa, sijui vita, hizo hazipo ni waziri wenu anatumia hisia ila kiuhalisia hamna la ziada atalofanya. Huyo Anko T anaemsakama hana ushahidi wa kumtia hatiani.
  12. Vishu Mtata

    Nahisi mikoa hii haijafanikiwa kutoa vijana maarufu kitaifa walio chini ya miaka 40

    We dogo umeingia jf juzi ama?? Humjui karismatiki fela, gemu chenja kutoka Mara?? GENTAMYCINE njoo umjibu huyu kijana mr piwa talentedi.
  13. Vishu Mtata

    Wazoefu wa haya mambo tusaidiane hapa

    🤣🤣🤣 kaka umeliwa, unabaka vipi mtu uliekua unampa visenti??
  14. Vishu Mtata

    Waziri mkuu Mwigulu Nchemba, tusaidie kuzuia huu wizi

    Utapeli wa namna hiyo hata serikali ni ngumu kuuzuia maana hawa watu wanapatana kinyemela, wanalipana kinyemela. Akipigwa tukio ndio anajitokeza bila vielelezo zaidi ya maneno.
Back
Top Bottom