Umri wowote ila ujanani nadhani mwili unakua active zaidi kutoa visivyohitajika na kinga kua na hali nzuri ikiwa afya yako ni njema lakini.
Na kizuri au kibaya ni kua afya zetu hazifanani, usiige wala kufata mkumbo kwenye suala lihusulo afya, usishindane kunywa,kula, kuichapa au kuchapwa...
Hukohuko kuna yule mwamba alikua na chupa kibao na ndoo kibao kajaza kinyesi.
Na anahojiwa anajibu normal kabisa as if ni kitu ya kawaida.
Sijui huwa wanalala vipi na hiyo harufu.
Dr. Mariposa kikwapa tu kinatukutoa roho, utaweza harufu ya kojo la miaka?? Au ndo ungekuwepo ungewatia mibisu ya...
Usikate mkuu, wewe ni shabiki maandazi.
Game 2 tu tayari ushaona kiwango cha mchezaji ambae hukua unamfatilia kabla?
Huo ndo ushabiki maandazi wenyewe.
Kwa Trump mbali mkuu, watu wa kawaida tu wanaanza kujitafuta wakiwa na maarifa na wamemaliza vidato wakiwa na umri mdogo tu.
Huku chuma kinamaliza chuo hamna hamna kina 24 yrs.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.