Sasa si inajulikana wazi bosi anapata pesa kupitia huduma ya hao waajiri wake, huyo shetani kama ndio boss anapataje faida kifedha ili awarudishie asilimia kadhaa hao wafanyakazi akiwemo secretary??
Unataka kuuza bei uliyonunulia na simu ushaitumia miaka 2??
Sio kwa ubaya ila hiyo bei na aina ya simu ni tofauti.
Ingia kwenye groups za "vitu used" facebook, tangaza huko huenda ukapata mteja.
Na ukiendelea kulia kua una shida utaiuza hata 10k.
Ulikua na maana gani kusema "anataka ndgu zako wa karibu kama mkeo na watoto"?
Nachouliza ni kua huyo shetani yeye anaoffer nini? Mbna inaonekana hana nguvu mpaka anategemea binadamu wamfanyie, na umesema yeye halipi ila hao jamaa zake "royal family" ndo wanalipa.
Na umedai yeye ni roho hana...
Sasa kama yeye hawezi fanya chochote anakuoaje hizo pesa?
Hao royal family wanafaidika vipi na ww kutenda dhambi kumfurahisha shetani??
Au yeye shetani mali zake ziko wapi? Kama hawezi kua kama binadamu na akaua, hizo mali alizipataje na yeye ni roho tu bila mwili??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.