Umejipa taabu ya kumnasihi kiungwana huyu Hafii kunasihiwa hivi, kuliko yake Ndio hao kina mange mtu mzima hovyo ilmu Imeiweka mgongoni njaa na tumbo lako ndio unaviweka mbele hovyo aibu yako sasa!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kubenea, sawa lkn hoja zako nyingi zinaukakasi. Kama alikuwa na nia njema na chama chake angeweka akiba ya maneno kama Seif, ngelikaa kimya bila kusema chochote!!!!!!!!!!!!!!!
Bro, Mshana unataka kutuaminisha kuwa CDM haiwezi songa bila Mbowe!!!!! Makinika kidogo, hii trouble iiliyopo sasa CDM sababu ni Mbowe alifika mwisho wa kufikiri kwa kufikiria 2015/16 tu 17/20 hakujishughulisha nayo!!!!!!!!!!!!!!!!
Nionyeshe mkali yupi nchi haikutafunwa sana!!!!!! Scandals zote kubwa kuliko zimetokea kwa hao wakali na zaidi huwa wana tabia ya kubinya demokrasia ili tusijue mabaya yanayofanywa na serikali wanazoziongoza. Mkwere hajapata wa kumilinganisha nae, anafanya madudu anawaacha huru...
Hoja yako ina ukakasi!!!!!!!! Labda wakati mwl anaondoka ulikuwa hujazaliwa aliondoka na vyote hatujawahi kupata shida kama wkt wake. Mkapa ndio shida yote hii anayoitekenya Magu kuanzia umeme, madini na ubadhirifu. Haya tuonyeshe walicho kifanya cha ajabu wenzao hawakukifanya!!!!!!!!!!!!!!
Ww
Wewe hujatoa ushahidi wa kwanini mji wa yuresalem ni wa waisrael halafu unataka upewe ushahidi huoni unavyochekesha!!!!!!!!!!!! Kwa kuku saidia tuu nenda kasome vitabu vya historia pamoja na biblia takatifu uwajue wafilisti na wafoeniki halafu uje hapa tujadiliane!!!!!!!!!!!!
Kama Umenisoma vizuri ktk thread hii
mm nilikuwa namjibu alieuliza kabila kutaka kujua ni kabila gani!!!!!! Cjui kosa Langu nn hapo???!!!!!!!!!!!!!!????
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.