Haya mambo sasa mnazidi kutuchanganya TU... Hii comment Yako kama ni kweli kwamba RA mine yake Bado haijastabilize ukilinganisha na Ruvuma coal mine...
Je, attack ya pole2 kwamba RA anafisidi nchi kwa kujimilikisha mgodi wenye makaa ya mawe ya kuvunwa kwa miaka 400! Ni sahihi?
Kama ndivyo...
Kwa kuongezea... Mfumo wa takwimu kielektroniki unakwenda na formula. Kama unataka total isome 200 bila kujali usahihi wa variables ni jambo linalowezekana. Balaa KUUBWA zaidi ni zama hizi za Akili bandia... (Akili mnemba?,... Unde?)
Sanaaa, mwamba yupo vizuri.
Nina swali kwa Mshana. Wewe ni mwandishi na mchambuzi mzuri TU wa mambo anuai. Unafikiri ni andiko Gani au uchambuzi Gani unaodhani kwako ulikuwa Bora zaidi na ulioweka rekodi, ili niupitie. I'm very serious
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.