Recent content by vis kipo

  1. V

    JamiiForums Tanzania Ni umri gani ukifika unatakiwa kuanza kuwa makini kuchagua vyakula na vinywaji

    🤣🤣🤣🤣
  2. V

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Nimeona kule Rwanda Kuna operation maafisa 17 wa RFA wana pingu kwa madai ya kutoa vibali vya kusambaza na kuuza pombe zisizohakikiwa. ...The best of the responsible Government
  3. V

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Haya mambo sasa mnazidi kutuchanganya TU... Hii comment Yako kama ni kweli kwamba RA mine yake Bado haijastabilize ukilinganisha na Ruvuma coal mine... Je, attack ya pole2 kwamba RA anafisidi nchi kwa kujimilikisha mgodi wenye makaa ya mawe ya kuvunwa kwa miaka 400! Ni sahihi? Kama ndivyo...
  4. V

    JamiiForums Tanzania Graduation za shule private kuna utofauti mkubwa wa matabaka ya kiuchumi, nawaonea huruma wanaosomesha kwa kujinyima halafu watoto waje kusota kitaa

    Nilivyoona ID yako kama "Mama ametufikia" Sijajihangaisha sana kujua ni CHAWA
  5. V

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkubwa akivuliwa nguo huchutama: CCM wazuieni vijana wenu wasijibu kwa mihemko, wanazidi kuharibu

    Kwa kuongezea... Mfumo wa takwimu kielektroniki unakwenda na formula. Kama unataka total isome 200 bila kujali usahihi wa variables ni jambo linalowezekana. Balaa KUUBWA zaidi ni zama hizi za Akili bandia... (Akili mnemba?,... Unde?)
  6. V

    JamiiForums Tanzania Tafakuri yangu: Kifo cha Job Ndugai ( Spika Mstaafu)

    Sanaaa, mwamba yupo vizuri. Nina swali kwa Mshana. Wewe ni mwandishi na mchambuzi mzuri TU wa mambo anuai. Unafikiri ni andiko Gani au uchambuzi Gani unaodhani kwako ulikuwa Bora zaidi na ulioweka rekodi, ili niupitie. I'm very serious
  7. V

    JamiiForums Tanzania Polepole: Rostam Aziz ndiye anayeendesha biashara ya uchimbaji na usafirishaji wa makaa ya mawe

    Hata hicho kinachoitwa taarifa sahihi, unaweza ukawa "Masked" kunakuwa na mchongo umetengenezwa kisiri Siri, ili watu Fulani wapate dili kihalali
  8. V

    JamiiForums Tanzania Tafakuri yangu: Kifo cha Job Ndugai ( Spika Mstaafu)

    Hebu funguka hapa, tumezimiss sana hizi falsafa zako mkuu
  9. V

    JamiiForums Tanzania GE2025 Salim Kikeke mbunge mtarajiwa wa Moshi Vijijini utaweza kutafuta soko la nguruwe?

    .... In Nape's voice.... 🫣🫣🫣
  10. V

    JamiiForums Tanzania Je Chung Ju Yung, mwanzilishi wa Hyundai aliyeuza ng'ombe mmoja wa baba yake ili kupata nauli ya kuhama Korea Kaskazini

    Inawezekana nimeelewa tofauti... Lakini hata kuona nimeona tofauti?? Kichwa cha habari kinasema aliuza ng'ombe "MMOJA"
  11. V

    JamiiForums Tanzania Pajue Iringa kwa kupitia picha

    Ni mji wenye hadhi ya Manispaa, Ni Manispaa inayoongoza kwa usafi Tanzania, baada ya kuipiku Moshi
  12. V

    JamiiForums Tanzania Kwa wasiofuga na kulima ndio uona maisha ni magumu

    Naona motion imepata proposers and opposers. Debate iendelee nakusanya points
  13. V

    JamiiForums Tanzania GE2025 CHADEMA: Tumepata taarifa ya Tundu Lissu kutaka kupewa sumu

    Aliyesema Julai kutatokea jambo kubwa
Back
Top Bottom