Recent content by vis kipo

  1. V

    JamiiForums Tanzania Je, Unaweza Kuwa Jasusi Bila Kujijua? 🤔

    Ni sahihi, Tena mara nyingi TU. Eneo maarufu ambalo hii mbinu hutumika ni katika sekta ya ajira rasmi iwe ya kudumu au ya muda mfupi. Wakuu wa vitengo, mameneja au kwa kifupi mabosi, hutumika kupata taarifa za watu walio chini Yao, bila hata wao kujua. Chukulia kwa mfano inakuja taarifa ofisini...
  2. V

    JamiiForums Tanzania Maria Surungi: Deo Ndejembi ni Mzanzibari, Muislamu, pia ana uraia wa Uingereza

    Kuna mtu ameposti humu kuwa Wanzanzibari wamefurahi sana uteuzi wa Ndejembi
  3. V

    JamiiForums Tanzania Deogratius Ndejembi ateuliwa kuwa Makamu wa Rais

    Elimu yake Sasa.... Ilibidi iwe hivi... 1988 - 1994 Drs I - VII (PEE) 1995 - 1998. Kdt I - Kdt IV (CSEE) 1999 - 2001 Kdt V - Kdt VI (ACSEE) Kwa mtiririko huo wa usomaji, tayari tushawashwa huko. Ma-VP wengi huko nyuma ni madoctor... Ngoja tusubiri maoni ya Mange akisema ni mpango wa Abdul...🤪🤪🤪
  4. V

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuhitimisha ushahidi Mkuu leo, Agosti 26, 2026 Mahakamani

    Nimesema... Baada ya hili sakata watajuta kumfahamu TAL Binafsi nilikuwaga najua kwamba Mh. Tundu ni mwanasheria, ila sikuwahi kujua ni wa KIWANGO HIKI. Wakati akiwauliza maswali ya dodoso wale mashahidi wa Jamhuri sikuwa napata mantiki ya baadhi ya maswali yake, zaidi TU ya kuuona ufundi wake...
  5. V

    JamiiForums Tanzania Kesi ya Uhaini: Tundu Lissu kuhitimisha ushahidi Mkuu leo, Agosti 26, 2026 Mahakamani

    Ukichukua historia yake ya mapambano ya kisiasa aliyoisema katika utetezi wake hapa, jumlisha misimamo yake hata Sasa akiwa mfungwa, bila kusahau mihoja aliyokuwa akiijenga akiwa bungeni, na ukasoma ni nini hasa kilichomo Moyoni mwake na akilini mwake kuhusu nchi ya Tanzania.... Ni wazi Kuna...
  6. V

    JamiiForums Tanzania Sijui niliyoyasoma Kwenye Laptop waliyomnyang’anya Lopelope niyeweke wazi au nijiridhishe kwanza?

    Recently yes.... Lakini before was yes also
  7. V

    JamiiForums Tanzania Sijui niliyoyasoma Kwenye Laptop waliyomnyang’anya Lopelope niyeweke wazi au nijiridhishe kwanza?

    Kiranga nakuona unavyo vibrate kama popcorn kwa kukatiziwa uhondo....😆😆😆
  8. V

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    "Ama ajiamulie.... au Waamue".... In Britannica's note...
  9. V

    JamiiForums Tanzania Makamu wa Rais, Dkt. Emmanuel Nchimbi, ajiuzulu

    Britannica Shikamoo
  10. V

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Lissu Inatakiwa Afunguliwe Mashtaka Mapya Kabisa na kufanya Uchunguzi Juu ya Kauli zake zilizotolewa Mwaka jana kabla ya Uchaguzi

    ......."kwa mujibu wa Sheri".... Very nice.... Suala linaiva huko mahakamani,..... Subiri lipakuliwe
  11. V

    JamiiForums Tanzania TBS: Tumewasilisha taarifa Sekretari EAC kuiomba Rwanda kutoa sababu za Kuzuia Vinywaji vya Tanzania

    Nimeona kule Rwanda Kuna operation maafisa 17 wa RFA wana pingu kwa madai ya kutoa vibali vya kusambaza na kuuza pombe zisizohakikiwa. ...The best of the responsible Government
  12. V

    JamiiForums Tanzania Rostam Aziz ndo anaendesha Serikali(?)

    Haya mambo sasa mnazidi kutuchanganya TU... Hii comment Yako kama ni kweli kwamba RA mine yake Bado haijastabilize ukilinganisha na Ruvuma coal mine... Je, attack ya pole2 kwamba RA anafisidi nchi kwa kujimilikisha mgodi wenye makaa ya mawe ya kuvunwa kwa miaka 400! Ni sahihi? Kama ndivyo...
  13. V

    JamiiForums Tanzania Graduation za shule private kuna utofauti mkubwa wa matabaka ya kiuchumi, nawaonea huruma wanaosomesha kwa kujinyima halafu watoto waje kusota kitaa

    Nilivyoona ID yako kama "Mama ametufikia" Sijajihangaisha sana kujua ni CHAWA
  14. V

    JamiiForums Tanzania GE2025 Mkubwa akivuliwa nguo huchutama: CCM wazuieni vijana wenu wasijibu kwa mihemko, wanazidi kuharibu

    Kwa kuongezea... Mfumo wa takwimu kielektroniki unakwenda na formula. Kama unataka total isome 200 bila kujali usahihi wa variables ni jambo linalowezekana. Balaa KUUBWA zaidi ni zama hizi za Akili bandia... (Akili mnemba?,... Unde?)
Back
Top Bottom