Hawa kwenye katiba yao ligi ikisimama kwa janga lolote lile anaeongoza ligi ndio atakua bingwa pamoja na France nao wana sheria hio
Sent using Jamii Forums mobile app
Naomba nieleweshwe vizuri maana sielewi, hivi Fawler aliyekuwa mchezaji wa Liverpool aliitwa Mungu wa Magoli ilikuaje na alicheza mwaka gani? Kwanini walimpa jina hilo na alikua anacheza nafasi gani?
Naomba msaada wenu
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.