Je..Yesu unayemuamini alifundisha wafuasi wake wafanye ibada za kuwasha MOTO kwa kuwa amesema yeye ni NURU ya ulimwengu?na Je..maandiko matakatifu katika Biblia yanasemaje kuhusu wale wafanyao ibada ziambatanazo na kuwasha MOTO?
Usichanganye mambo Mkuu...Mtakatifu Francisco wa Assissi...
Tatizo linalofanana kidogo na hilo uwa linanitokea kwangu kipindi mawingu mazito ya mvua yanapotanda angani....signal zinapotea au sometimes picha na sauti vinakata ghafla au picha na sauti vina-stuck stuck au mawasiliano yanakatika na kunakuwa hakuna meseji yoyote kwenye screen...
niliwapigia...
Miaka hiyo tunasoma kuna jamaa mmoja niliishi naye hostel chumba kimoja wakati tupo chuo...yeye ilikuwa usiku anaamka usingizini anaenda toilet na kurudi kitandani kulala bila ya kujitambua...na asuhuhi mkiamka ukimwambia kuhusu tukio la yeye kutoka chumbani kwenda toilet usiku hakumbuki...
Maelezo yake kwamba TZ tulifunga mpaka wetu na Rwanda kipindi cha genocide ikapelekea wao wapitie Burundi border kuna walakini....sababu watz ninaowajua waliokuwepo Rwanda kipindi hicho cha machafuko walirudi Tz kupitia Rusumo border.....kwa ufupi hii story yake ina "coverings" nyingi kwasababu...
"Mshua wangu" alikuwa anafanya kazi Kigali kipindi hicho cha machafuko ya Rwanda na hadi vita rasmi vinaanza bado yeye na watz wenzake walikuwa hapo mjini Kigali....labda nikuhakikishie ofisi za ubalozi wetu zilikuwepo hapo Kigali kitambo kabla ya hiyo mwaka 1994 na hazikuanza hiyo mwaka 2000...
Swali lako limejibiwa kwenye video hapo chini Mkuu.
In this special report, we ask some questions that you might not thought of:
Why are Italy and Iran, both thousands of miles away from China, the two most affected countries outside mainland China?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.