Recent content by Vijijini Lawama

  1. Vijijini Lawama

    Tume ya Upwaguzi: Eti huyu kajiandikisha mara mbili kwa BVR?

    Kwa zile mashine nilivyoziona UKAWA inabidi wakae macho vinginevyo ni rahisi sana jamaa kujifungia ukumbini na kuongezea majina na kuprint kadi. Ni kukusanya tu watoto na kuwachukua finger print na halafu kupiga picha za watu wazima na kuprint vitambulisho hata kumi kwa kila mtu ambaye wanataka...
  2. Vijijini Lawama

    Idara Ya Usalama Kenya Yakanusha Uzushi Kuhusu Gari La Mbowe!!

    hivi ninyi huwa mko hapa jf kuleta uzushi au kujulisha umma na kuchangia mada kwa weledi? Maneno ya kukanusha hiyo habari yalisemwa na jeshi la polisi la kenya kwamba hayo maneno ni uongo. Alisema wao hawajakamata gari bali walihoji hilo gari liloingia hapo kenya na kukuta likiwa ni gari la...
  3. Vijijini Lawama

    CHADEMA wageukieni wazee,vijana wengi hawapigi KURA!!

    wewe ni beneficiary wa magamba usitudanganye.
  4. Vijijini Lawama

    Tunahitaji mbadala wa CHADEMA utakao itoa CCM Ikulu

    kwani mlikatazwa kwenda kalenga yetu macho tutawaona mzee, karibuni kwenye ulingo hamkatazwi na cdm nyie songeni mbele na hata adc walianza kama niny bendera karibu nchi nzima na kutukana cdm lakini leo mmmmh
  5. Vijijini Lawama

    Dr. Slaa turns 70: Bado ni "think tank" wa CHADEMA?

    Mnapoteza muda kumjibu huyu bwana anayejiita Hammy-D
  6. Vijijini Lawama

    CHADEMA kitanzini kimapato: Account ya chama hoi, wadau wahoji matumizi!

    haaaaaaaaaaaaaaaa, hujitambui tumikia kafiri, theme yako ndani ya thread yako mbona inajulikana?
  7. Vijijini Lawama

    Katiba Mpya: Askofu Kakobe ampelekea Rais Kikwete ujumbe wa wazi kutoka kwa Mungu

    Hata enzi za Nuhu kuna watu walidhihaki neno la Mungu na yakatokea ya kutokea kwa hiyo binadamu walio na masilahi sehemu fulani huwa ni wagumu kuamini bali wewe umetimiliza neno lake aliye Mkuu kuliko hata vyama
  8. Vijijini Lawama

    CCM Yakwama kuzindua Kampeni Kalenga leo

    La muhimu kwa CDM ni kupiga kampeini hilo la MAGAMBA kushindwa kuzindua ni kitu ingine, wanatafuta mkakati wa kuja nao ikiwa ni pamoja na kununua kadi za wapiga kura, kuweni waangalifu na mjaribu kupita chini kwa chini kuzuia hii hali lasivyo ..................
  9. Vijijini Lawama

    Tazama saini za maafisa wa ikulu sakata la wapentekoste kutochaguliwa bunge la katiba

    Mithali 12:18-19 na 22 Kuna anenaye bila kufikiri, kama kuchoma kwa upanga; Bali ulimi wa mwenye haki ni afya. Mdomo wa kweli utathibitishwa milele; Bali ulimi wa uongo ni wa kitambo tu. Midomo ya uongo ni chukizo kwa Bwana.
  10. Vijijini Lawama

    Tazama saini za maafisa wa ikulu sakata la wapentekoste kutochaguliwa bunge la katiba

    Ndugu yangu hata mimi nashindwa kuelewa kama mcha mungu hatakiwi kudai haki yake, lakini kwenye utawala huu na vibaraka wake mcha mungu akidai haki ni dhambi
  11. Vijijini Lawama

    Mizengo Pinda: Mnaitaka Tanganyika ipi?.

    Ni kweli mkuu hawa jamaa wanatakiwa kutuwezesha (to create awareness) kama wanaona hatuelewi, but huwezi kumhukumu mtu kuwa wewe ni mjinga wakati hujamuelimisha na kujua ujinga wake, ulipo. Watuambie faida za muungano wa tatu kinagaubaga kwa kuwa wao ndiyo wanaongoza nchi. Mimi najua kuna watu...
  12. Vijijini Lawama

    Tazama saini za maafisa wa ikulu sakata la wapentekoste kutochaguliwa bunge la katiba

    Ha ha ha, Uchangiaji wangu na wako ni upi unawakilisha 0? Tafakari chukua hatua
  13. Vijijini Lawama

    Tazama saini za maafisa wa ikulu sakata la wapentekoste kutochaguliwa bunge la katiba

    Hivi wewe huwa ni mzimu au robot maake mawazo yako siku zote huwa hayana akili ndani yake, Sijui ni mtoto, mtu mzima au mzee????? Kwenye utoto upo, Utu uzima upo, Ukongwe upo, jichunguze na uje na jibu la mienendo yako kwenye jamaii
Back
Top Bottom