Huyo nabii no 3. Namjua.
Huyu jamaa anajiita nabii na kashaliza wengi sana,anajitangazia mpka ukimwi anatibu. Huyu jamaa anaozesha ndoa mbili mbili kwa waumini wake waliokimbia makanisa mengine kama roman catholic.Tatizo wanaojiita wakristo hawajui kuisoma bible wenyewe,wanataka kusomewa.
Napata wasi wasi na uadililifu wa kiongozi wangu Freeman mbowe,ndiyo maana JPM anatudhalau sasa,coz kashajua madudu ya Mshika kamba. Shame on You Freeman mbowe.
Kuna shirika moja,nilisikia wanafanyiwa uhakiki na NIDA. Na report za mkaguzi mkuu (kama sijakosea) zinaonesha hakuna kichaka cha wajanja wajanja kama NIDA
Tanesco wakitangaza ajira,ukienda unaambiwa nafasi zimeshajaa wakati ata 48 hrs haijaisha tokea watangaze.. ! Sadly
Ni kujuana mwanzo mwisho..ushaidi uko wazi kwa wenye macho
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.