Recent content by victory02

  1. V

    JamiiForums Tanzania USA hata kama akasimama pekeake dhidi ya dunia nzima kivita, bado tutapigwa tu

    Labda nikuulize mleta mada,unafikiri ni kwa nini dunia ya sasa mataifa yanatafuta allies (washirika) akiwemo huyo usa?
  2. V

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hii ni app Gani?
  3. V

    JamiiForums Tanzania Special Thread: Yanayojiri Mgogoro wa Ukraine na Urusi. Nini chanzo na hatma ya mzozo?

    Wewe kweli huna akili, unataka kumaanisha gharama Russia anayotumia kwenye hii vita ni kubwa kuliko anachopigania hapo Ukraine. Kwa hiyo aachane na hiyo vita? Unaelewa kwa nini Russia anapigana hii vita? Unaelewa kwa nini West wanatumia nguvu kubwa kumsaidia Ukraine?
  4. V

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mtanzania aliyekuwa anaishi Texas, Marekani afariki kwa ajali ya gari

    We Wewe jamaa comment yako haifungamani na imani yako juu ya uwepo wa Mungu,au unatutega ili ufike kwa Mungu mwenyewe
  5. V

    JamiiForums Tanzania Wosia wangu wa mwisho

    Mods mnaedit sana nyuzi za watu bila sababu za msingi. Leo asubuhi huu uzi ulikuwa unatoa lawama kwenu ila mshaedit na kukiondoa kile kipande. Melo kaajiri watu walookosa weledi kabisa wa kazi. Huyu bwana inaonekana anahitaji msaada toka muda ila mkabadilisha uzi wake.
  6. V

    JamiiForums Tanzania Tetesi: Mtoto pendwa kapatwa na nini? Yuko hoi kwa Madiba, inadaiwa ni sumu

    Unataka kuniambia daladala tuliyopanda haina KONDA,mbona tutapitishwa vituo sasa
  7. V

    JamiiForums Tanzania Russia imetangaza dau kwa Marubani watakao torosha ndege za F 16

    Hii vita Putin anapigana kijanja sana,anairefusha makusudi ili Marekani na nchi za Ulaya wayumbe kiuchumi. Kwani mrusi kaishiwa drones hadi atumie za Iran,kwa nini kachukua tani za silaha kutoka N korea. Ndiyo maana anataka hizo silaha wanazompa Ukrani azitumie hizo hizo kuwachapa nazo. Putin ni...
  8. V

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hii website inaitwaje
  9. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Utafiti: Ndoa nyingi zimeshakufa ingawa watu bado wanaishi kama mke na Mume

    Kuna watu wanatumika kama agent wa shetani kuwatisha watu kuhusu ndoa,acheni watu waoe. Tatizo siku hizi ndoa zinazungumzwa vijiweni kama Simba na Yanga which is not right. Kuna proper ways za kudeal na changamoto za ndoa ambazo wazee wetu walizitumia na maisha yakasonga.
  10. V

    JamiiForums Tanzania Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu Mkuu hii ni app gani?
  11. V

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanaume hatufaidi ndoa, tunatumika tu kama tingatinga

    Mimi kama mwanaume siwezi kwenda kuishi na mtoto wangu wa kiume kwake labda kukaa siku mbili Tatum na kusepa. Akina mama ndiyo wanaweza kukaa tena wengine hadi wanafurugana na wakwe zao. Aisee mimi kama chaliangu hawezi nipa msaada pale pale kwangu aniache nipambane na Hali yangu
  12. V

    JamiiForums Tanzania Bajeti yapendekeza Elimu ya kidato cha tano na sita kutolewa bure

    Anayejua tunakoelekea naomba anijulishe,nilikuwa nje ya nchi nimerudi asubuhi ya Leo.
  13. V

    JamiiForums Tanzania Naomba ushauri: Simuelewi mama. Nina hasira sana

    Inawezekana mama amepata lijamaa,anataka wajiachie hapo nyumbani. Sepa zako wala usimtafute kwa muda flani ili ajue umuhimu wako.
Back
Top Bottom