Recent content by victor2015

  1. victor2015

    Unaweza kumiliki bar bila kuwa mnywaji wa bia

    Habari wana JF nimekuwa naendesha biashara ya Bar muda Mrefu na nimekuwa mnywaji wa bia sana sasa kila nikilewa napata matatizo ninapofika Nyumbani na kila ninapotafakari matatizo ninayoyapata yote yanatokana na pombe. Sasa ninataka kufanya maamuzi wa kuacha pombe ili ninusuru mifarakano kwenye...
  2. victor2015

    Ipeni maneno picha hii

    Mzee alimwambia Magu yaani Kijana unampa tena kazi mama!! Yaan nianze kujipikia tena mwenyewe? Magu akafanya kweli tumbua Anna
  3. victor2015

    Kigwangalla afanya ziara kliniki ya ForePlan, awapa Polisi masaa 24 kumkamata Tabibu Mwaka

    Jamaa kagongewa Mke ndio maana ana hasira kiasi hicho
  4. victor2015

    Ukipewa mimba dai risiti

    Ukipewa papuchi dai risiti
  5. victor2015

    Faida za M-PESA VODACOM kwa wateja wake kila mwisho wa mwezi

    Watwangie Mkuu pia jiulize huko miezi ya nyuma zimeenda wapi? Au ndio wametupiga? Ila nimewapigia wameniambia Ngoja hiyo ya mwezi wa sita iingie kwanza ndio niwapigie kwa kuuliza miezi ya nyuma
  6. victor2015

    Faida za M-PESA VODACOM kwa wateja wake kila mwisho wa mwezi

    Ombi lako lililopokelewa na FN limepewa namba CSR156006579. Tutakujulisha punde tu litakapotatuliwa. Asante kwa kuchagua Vodacom.
  7. victor2015

    Faida za M-PESA VODACOM kwa wateja wake kila mwisho wa mwezi

    Utapokea Tsh 11546 kabla ya 30.6.2016 kama faida ya kutumia M-Pesa. You will receive Tsh 11546 before 30.6.2016 as your benefit for using M-Pesa.
  8. victor2015

    Faida za M-PESA VODACOM kwa wateja wake kila mwisho wa mwezi

    Kumekuwa na uelewa mdogo kuhusu faida za m-pesa kwa kila mtumiaji wa Huduma ya m-pesa Vodacom. Mwezi wa sita katikati nimebahatika kujua kumbe vodacom wanatoa faida kila mwisho wa mwezi kwa mteja yoyote anayetumia m-pesa na wanasema kujua faida yako tuma neno KIASI kwenda 15300 na utapokea...
  9. victor2015

    Nape: Wema ametupa heshima kubwa, tutamuweka kwenye rekodi zetu

    Mbona hiyo App siipati naombeni msaada
  10. victor2015

    Mapokezi maalum kwa Maalim Seif kisiwani Pemba kutoka Airport yarindima barabarani

    Rais ni Dr Shein tu hako ka sisimizi sijui hata kimetokea wapi na Kilikuwa wapi yaani haka ka mzee kamelambishwa 2Billion basi ameona wa Zanzibar ni mafala sasa ndio kaamua kuja kuwachungulia wajinga na vibendera vyao!!!!????
  11. victor2015

    Kwa wenyeji wa Arusha, lodge gani ni nzuri na affordable?

    Mkuu ni 15,000 self ina simu, TV, instant heater,
  12. victor2015

    Kwa wenyeji wa Arusha, lodge gani ni nzuri na affordable?

    Mkuu Karibu sana Riverside Lodge bei ni 15,000 na room ni safi na ina simu ndani, TV, maji moto, electric fance kwa usalama na ni karibu na mjini
Back
Top Bottom