Recent content by VICTOR Y MAGANGA

  1. VICTOR Y MAGANGA

    2016 Masihi alipoyakanyaga kwa Dkt. Mashairi ya Chekacheka

    Simple..ipo clear Sent from my SM-A225F using JamiiForums mobile app
  2. VICTOR Y MAGANGA

    TANZIA Aliyekuwa Msajili wa Makandarasi, Joe Malongo afariki dunia

    Ila mloganzila...anyway may his soul rest in peace
  3. VICTOR Y MAGANGA

    Dark days 17/03/20

    VT
  4. VICTOR Y MAGANGA

    Dark days 17/03/20

    [emoji122]
  5. VICTOR Y MAGANGA

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Cheque ya 1bn?...alafu maelezo yaliyopo mbona aliacha kazi 1 month ago..wewe unasema alienda nyumbani kupumzika?..isije ikawa mnatumika kucirculate wrong info kwa manufaa ya wengine wanaohusika
  6. VICTOR Y MAGANGA

    Loose ends Kifo cha Martha Towo

    Mambo ya optography
  7. VICTOR Y MAGANGA

    Usisiome kozi hizi..!

    Engineering??...you are not serious au kuwa specific Engineering gani?
  8. VICTOR Y MAGANGA

    Nimempambania kapata kazi, salary ni 1.5m gross kaikataa kisa kapangiwa kwenda mkoani Mbeya

    Asiyesikia la mkuu huvunjika guu...achana naye na aende kujitegemea mwenyewe huko
  9. VICTOR Y MAGANGA

    Hizi ndizo top ten taasisi private sector zinazolipa vizuri

    Ngoja kwanza nicheke...kwa utafiti wako unaona hizo taasisi wanalipwa average kiasi gani ambayo kwa mujibu wako ndo kubwa?
  10. VICTOR Y MAGANGA

    Askari wa JWTZ aliyemuita Polisi 'paka' wakati akitimiza majukumu yake afutwe kazi

    Mbona inaonekana huyo jwtz ni sergeant na huyo polisi ni constable...sasa huoni nani mtovu wa nidhamu hapo?, kubishana na senior wake hadharani
  11. VICTOR Y MAGANGA

    Lindi: Watumishi wa Halmashauri washtakiwa kwa Uhujumu Uchumi

    Uhujumu uchumi ina dhamana..isipokuwa ikiongezeka na kosa la utakatishaji ndo dhamana inakuwa hakuna
  12. VICTOR Y MAGANGA

    Dodoma: Mahakama Kuu yamuachia huru Mwanachama wa CHADEMA aliyefungwa jela kwa miaka 30 kwa njama za Jerry Muro

    Jerry kateuliwa kuwa DC ikungi Junei 2021, alafu awe alimshawishi diwani wa 2010-2020?...kama ni DC basi siyo muro; ukiwa muongo uwe na kumbukumbu
  13. VICTOR Y MAGANGA

    Hivi nafasi ya rufaa kwenye Sekreteriat ya Ajira?

    Mi nilishawahi ambiwa sijaupload cheti cha ngazi flani na huku nimeupload..nikawapigia simu na kuwaandikia email nikaitwa kwenda kufanya usaili..hivyo kufuatilia muhimu
Back
Top Bottom