Elimu kazi yake siyo kuondoa ujinga ila ni kurithisha maarifa mbalimbali kutoka kizazi kimoja hadi kingine, ujinga una mzunguko wake wa asili usiokoma.
ELimu haitoi maarifa ya kila kitu hivyo hakuna anayeelewa kila kitu. Ujinga ni fumbo lililofumbwa katika akili ya kila mtu. Ukiona Kuna kitu...
Watu wa ajabu au Nchi ya ajabu Boss,
Nchi mbona naiona safi tu au Mimi naitazama kwa miwani nyingine?
Kwa mtazamo wangu naona watu ndiyo tuna matatizo sana.
Unaona umeandika jambo la maana sana eti eeeh!.. tumiankichwa chako vizuri utafika mbali sana, ila ukiendelea na matumizi ya aina hii utakuja muda hautakuacha salama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.