Recent content by Victor Mlaki

  1. Victor Mlaki

    Kwanini 'Wajinga' wanatoboa kimaisha haraka kuliko sisi 'Great Thinkers’?

    Elimu kazi yake siyo kuondoa ujinga ila ni kurithisha maarifa mbalimbali kutoka kizazi kimoja hadi kingine, ujinga una mzunguko wake wa asili usiokoma. ELimu haitoi maarifa ya kila kitu hivyo hakuna anayeelewa kila kitu. Ujinga ni fumbo lililofumbwa katika akili ya kila mtu. Ukiona Kuna kitu...
  2. Victor Mlaki

    Kama jf ni great thinkers, kunakuwaje na nyuzi za kizwazwa?

    Shida hapo unavyoona wewe ni ipi?..ni Jamii forum, wanajamii forum au mtazamo wako?
  3. Victor Mlaki

    Mwaka 2026 katika numerolojia: Mwanzo mpya na nyota ya matumaini

    Mwaka wa mabadiliko na mwanzo mpya: Namba 1 inahusiana na kuanza upya, kuanzisha vitu vipya, ujasiri, na uongozi.
  4. Victor Mlaki

    Mwabukusi: Tundu Lissu amekamatwa kinyume cha sheria, ameonewa

    Watu wa ajabu au Nchi ya ajabu Boss, Nchi mbona naiona safi tu au Mimi naitazama kwa miwani nyingine? Kwa mtazamo wangu naona watu ndiyo tuna matatizo sana.
  5. Victor Mlaki

    ETI 'WHO ARE YOU' Hhmmm

    Asante mkubwa
  6. Victor Mlaki

    ETI 'WHO ARE YOU' Hhmmm

    Masikini hujidharau hata yeye mwenyewe Brother tuachane na hayo tuwe bize tu
  7. Victor Mlaki

    Trump ametumia saa mbili tu kukifanya kitu kilichomshinda Putin kwa miaka 3

    Hizi ndiyo hoja kuntu, upo wapi boss na unapendelea kula nini?
  8. Victor Mlaki

    PostGE2025 Mbali na kesi ya Uhaini, Dkt. Malisa afunguliwa pia kesi ya Jinai ya Makosa ya Kimtandao

    Unaona umeandika jambo la maana sana eti eeeh!.. tumiankichwa chako vizuri utafika mbali sana, ila ukiendelea na matumizi ya aina hii utakuja muda hautakuacha salama.
Back
Top Bottom