Maendeleo ya sayansi na teknolojia ni hatua muhimu sana kwa ustawi wa binadamu na ni njia rahisi ya kufikia malengo endelevu ya kidunia "'sustainable development goals" lakini lipo swali la kujiuliza nyuma ya yote hayo.
Sayansi na teknolojia imechangia urahisishaji wa maisha ya binadamu kuliko...
Nimepitia vizuri andiko lako na nilichokiona ni matumizi makubwa ya Sanaa ya ushawishi "rhetorics" juu ya mtazamo wako. Ni kama unataka na wengine wavutiwe kuona unachotaka waone hivi.
Statement ipo very clear ila machumvichumvi ya wadau sasa ndiyo balaa..kama ukihadithiwa hii habari bila kusoma kilichoandikwa na Rais D. Trump unaweza ukalishwa hisia na mitazamo ya watu tu na siyo ukweli wenyewe
Hapo tunakwenda kuivaa hasara nyingine, hayo magari hususani range rovers yanapokaa bila kutumiwa au kuwekewa mafuta ya kutosha mara kwa mara yataharibika tu.
Tuna haja ya kuangalia zaidi ya kubana matumizi ya mafuta
Tumekuwa tukifundishwa neno la Mungu na watumishi mbalimbali wengine ni wanazuoni na wengine ni wale waliojifunza kutoka kwa wanazuoni lakini wapo pia wale waliozaliwa na uwezo huo.
Ukweli ni kuwa ipo mikabala mkubwa miwili ya kiufundishaji kithiolojia na hapa ndipo tunapoona mambo mengi ambayo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.