Recent content by Victor MG

  1. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Sina raha ya kuishi, nasumbuliwa na tatizo la kukosa usingizi

    Hii hali inanitesa sana ,japo sio kila mara. Ila hii hali inatesa sana.
  2. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    sawa ndugu ngoja nicheki hapa
  3. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    mzee nimejaribu ku upload pm kwako lakini imenigomea naambiwa invalid support
  4. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    Wakuu kwema hapa. Mdau atakaenisevu hata 10k ya ku survive hii wiki hadi ijumaa kwenye maswala ya mlo atakuwa amenihelp sana. Imebidi nipambane nikapata kazi ya kupanga mbao kwenye kiwanda kimoja na kuzoa saw dust malipo 25k per week .Pay day ni jumamosi kwa jmamosi ila sio mbaya kuliko...
  5. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    Sawa ndugujapo hiyo ni kuandaa upya.
  6. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    shukrani ndugu yangu. Mungu anijalie nipate hata kazi ya kujishkiza maana kaumri hakangoji mtu
  7. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    Shukrani mkuu japo kuna uzi nilifungua humu niliweka baadhi ya taarifa kunihusu. Chuo nimemaliza pale mwenge catholic university na bachelor ya geography and environmental studies
  8. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

  9. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    nimekuelewa ila hapo kwenye mjani nitakuwa navuka mstari mwekundu
  10. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    dah hapo kwenye unyonge umenikumbusha childhood traumas. Sema sina unyonge ule wa kuonekana kuwa kama zoba. Sema tu ni stress zinanifanya nakuwa mpole. Maana wanaonizunguka siwezi kujichanganya nao ktokana na lifestyle lao .
  11. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    Naam ndugu. Nimekupata.
  12. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    Hili swala la kwenda majuu nishaliwaza sana kwa ajili ya ktafta maisha, sema bahati na pia nawaza nisije kuangukia kwenye wale wazee wa human trafficking.
  13. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    dah sahiv ni kuwa mvumilivu maana. Inafikia hatua ya kujitenga. Ili kuepuka fedheha za kuulizwa maswali ya dhihaka na majirani ,
  14. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    doh niwie radhi sana, am really sorry...
  15. Victor MG

    JamiiForums Tanzania Hali ni tete

    naam nimekuelewa
Back
Top Bottom