Naomba kujuzwa ubaya wa wapinzani kusema kuwa serikali ilikuwa imeoza. Walikosea? Au Mheshimiwa Magufuli anayofanya ni usanii? Kama kweli kuna hayo madudu yastahili kuupongeza sana wapinzani kwani wangekaa kimya hawa watu wasingebadilika
Yastahili basi kuwaunga mkono tuzidi kuwapa nguvu ili...
Mwlm una haki ya kuhoji kwani inaonekana kama umenfuma mkeo kwenye usinzi au mkeo kakufuma na mkaachana ukisikia anafunga ndoa na akakuita nadhani wewe utawahi sana kwenye hiyo harusi na utakuwa kati ya wageni rasmi! Hongera!
Kwa zoefu wangu ninaamini kuwa kuna pepo la ngono na mwanamme anapokuwa nalo anakuwa hana aibu huwa na mvuto wa kipepo. Vile vile mwanamke huwa na mvuto wa hilo pepo! Ili kuondoana na hilo pepo, sali sana na ikibidi kufunga kwa wale ambao ni akristo.
Watetezi ni wengi sana! Kama ameonekana ana maana sana kwanini CCM wasimchukue? kwanini watetezi wa ZZK kuomba abaki CDM ni wengi na ni wale walioupande mwingine... yaani ant CDM! Cha kushangaza zaidi jambo hili lilimuuma zaidi Nchemba kuliko m2 yeyote. Ww unatutangazia kuwa kuna mgogoro! Ni upi...
Nimekubali mkuu. Na hii ni changamoto kubwa kwani kama serikali iliyopo madarakani imeshindwa kuwadhibiti watu hawa ambao ni wauaji, watu wa tindikali, sumu na mabomu na hakuna aliyekamatwa hadi sasa hivi na kuhukumiwa nashindwa kuelewa tuipe hiyo serikali jina gani. Naomba ushauri wako.:A...
Kama na yeye ni mamluki kama ww ni bora akajiondokea mapema. Na kwa ushauri ni vizuri nawe ukawasaliti hao tena ukajiunga na ZZK, Kitila na huyo mzee mkaanzisha cha kwenu kwani wote ni wasaliti wa demokrasia na mnatumiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.