Recent content by Vicky-Abelly

  1. V

    RC Rose: Mkoa wa Chato utakuwa na wilaya 5 Kakonko, Biharamulo, Ngara, Bukombe na Chato yenyewe

    PhD yake haikuwa na utata, alipewa na Dr. Akwilapo, School mate wake wakiwa Mkwawa (Single combi ya CM) ambaye alizawadiwa Ukatibu Mkuu wa Wizara ya Elimu ya Taifa
  2. V

    Kauli ya professor Assad kuwa serikali ina watumishi 60% wenye uwezo mdogo ni za kweli?

    Aisee, hi kitu imekuwa na multiple effect sana
  3. V

    Spika Ndugai: Mnaogopa nini kuleta viambatanishi ili tuwavue Ubunge kwa Haki?

    Ni ajabu sana, ndugai na timu yake walishaambiwa anademka bungeni hataki kusikia. Hayo anayoongea kila siku bungeni kuhusu hao kina mama hayana tija kwa Taifa na KODI zetu.
  4. V

    Bila rushwa hupati cheti cha Kifo au Kuzaliwa RITA mkoani Arusha

    Pale ofisi za RITA Arusha kuna sijui ni wasichana au wamama kazi yao kubwa ni kula rushwa na kujibu wateja wasioweza kujiongeza mbovu tu Kama Kamanda wa TAKUKURU atapata ujumbe huu anaombwa kutupia jicho pale. Pameharibika sana kwa rushwa na kusumbua raia kwa kuambiwa njoo wiki ijayo bila...
  5. V

    Ikulu: Kikao cha kusaini hati za kuondoa hoja tano za Muungano zilizotatuliwa. Sasa rasmi mafuta na gesi kila mtu kivyake

    Hapo umenena Mkuu. Akili ndogo au matapeli wa kisiasa hawaoni au wanatufanya wajinga
  6. V

    GE2020 Kitila Mkumbo: Vyama vya Upinzani havijajipanga kisera na kiuongozi

    Huyu YUDA ESKARIOT ajinyamazie tu. Iko siku atakumbuka kwamba usaliti ni kitu kibaya. Akikaa kimya itamsaidia "malaya wa kisiasa"
  7. V

    GE2020 This is Bishop Gwajima in his true colours

    Raha sana, huyu mtu eti ni ASKOFU wa dhehebu la dini na ana PhD ya kusoma.
  8. V

    GE2020 PICHA: Ingetokea kada wa CHADEMA ndiye angetinga hivi kwenye mkutano wa mgombea wa CCM, angetoka salama?

    Duh, kumbe vurugu zote za kampeni zinafanywa na ccm? Haya ni mambo ya kishetani, tuyakatae kwa nguvu zote. Eee Mola tusaidie
  9. V

    GE2020 Dkt. Magufuli aomba kura mtandaoni

    Wanapiga vita matumizi ya mitandao na vyombo huru vya habari alafu huku wanatumia vyombo hivyo-hivyo kuomba kura. Hawaeleweki, sipangiwi nani wa kumchagua, tumenyanyaswa vya kutosha tunataka uhuru, haki na maendeleo ya watu .
  10. V

    GE2020 Samia Suluhu: Hata mkipigia kura kule kwingine CCM ndio inaenda kuunda Serikali, tutashinda vikubwa sana Tanzania

    Nimeipenda hii, kama tukijitambua tunaweza kujiletea maendeleo. Ni aibu sana kumchagua mtu kwa kura alafu anakuja kukufanya wewe uliyemchagua ni mjinga. Kukataa kuonekana sisi ni wajinga ni kuwakataa na kulida kura zetu kwa nguvu zote. Hii ndiyo changamoto tuliyonayo, kufanya kazi ya ziada...
  11. V

    KCB half-year profit is more than the combined profits of top ten Banks in Tanzania

    If CCM looses election it will be possible to overtake kenyan, but with ccm in power Tz shall never be ahead of kenya . You know what, a lot of money goes to unnessesary expenditure. it is believed that Tz is where it is (poverty situation) because of ccm politics.
  12. V

    Rais Magufuli, umewadhalilisha sana wanawake weusi nchini

    Ni Majitu ya ajabu sana. Ona hata lile mwendo pole-pole, umri umekwenda lakini lina act kama kijana wa bongo fleva eti.
  13. V

    Rais Magufuli, umewadhalilisha sana wanawake weusi nchini

    ndio maana trump aliita vinchi kama vya kwetu ambavyo mwajiriwa wetu anatutukana hadharani nasi kufurahi "shithole countries":cool::cool::cool::cool::cool:. Mitano kwanza ni muafaka kwa sasa kuliko mitano tena. Turudishe heshima ya nchi yetu na watu wake.
  14. V

    Rais Magufuli, umewadhalilisha sana wanawake weusi nchini

    Hata ingekuwa Kenya, angetamani dunia ipasuke aingie ndani. Angebanwa mpaka aombe radhi, la sivyo angekosa kura za wanawake wote, weupe kwa weusi. Mambo ya hovyo-hovyo kiasi hiki yanaweza kutokea TZ tu. Ujinga au sijui upole wa kijinga umefanya watawala watudharau na kuamua kujisemea chochote...
  15. V

    GE2020 Halima Mdee: Natuhumiwa kumchonganisha Gwajima na madhehebu mengine na waumini wake

    Jamani acheni uongo, mbona sijaona hiyo mnayoita clip ya Mhe. Baba Askofu Gwajima?
Back
Top Bottom