Hivi hawa TIA wanapotoa majina bila index number, mfano swaum ramadhan mtu atajuaje kama ndo yeye Tanzania nzima kuna watu wangap wenye jina hilo hilo khaa!
Jaman naomben msaada kwa anaefaham, mzumbe kuna list imetolewa ya ambao application zao zina matatizo wameweka namba ili kuwasiliana nazo kutatua matatizo hayo sasa hizo namba hazipatikani toka walipoziweka jana na mwisho ni tar 8 msaada tafadhali kwa ambae anafaham njia mbadala.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.