Mungu mkubwa...siamini kabisa.

Mungu mkubwa...siamini kabisa.

Mtu Aliyekuwa Havard University.
Anaanza Chuo Upya Haa
Rais Alikuwa Anawatafut😛😛😵a Hawa 😀😀😀
 
Oyeee!!

Nimechaguliwa chuo kikuu mlimani city naenda kusomea kozi ya kuesabu ela, asante sana Mungu maana ntakuwa na ela nyingi sana.


Yes lakini hizo hela hazitakuwa za kwako....utakuwa unatuhesabia tu hela zetu.
 
Vyuo vikuu sikuizi hata mabashite wanaingia ?
Naomba unijuze kozi ya kuhesabu "ELA" nikozi gani ? Naona mpya hiyo
 
Yaan mtu.. Hajue kutafuta hela then hashindwe kuhesabu...!!
We chelewa tu
 
Ukubwa wa Pua sio wingi wa Makamasi, Dogo

wapo wengi wamesomea lakini hawako hivyo unavyofikiri.

Furahia kwa maana utapata maarifa na ujuzi wa pesa.

Huwa hawagawi pesa huko.
 
Wadau, Naomba kujua kwa wanyeji wa udom , vipi inawezekana uhame kozi kutoka Bsc physics uhamie Bsc nursing ???? Tafazali naomben mawazo
 
Back
Top Bottom