Oyeee!!
Nimechaguliwa chuo kikuu mlimani city naenda kusomea kozi ya kuesabu ela, asante sana Mungu maana ntakuwa na ela nyingi sana.
Unanialibia uzi wangu ...Mtu Aliyekuwa Havard University.
Anaanza Chuo Upya Haa
Rais Alikuwa Anawatafut😛😛😵a Hawa 😀😀😀
Naskia pale mlimani city hawakosagi mkopoMkopo umepata au mbwembwe tyyuu
Yes lakini hizo hela hazitakuwa za kwako....utakuwa unatuhesabia tu hela zetu.
Hahahaha haya bhanaEla nyengine sinakuwa nazichikichia
Mungu mkubwa .Hahahaha haya bhana
Oyeee!!
Nimechaguliwa chuo kikuu mlimani city naenda kusomea kozi ya kuesabu ela, asante sana Mungu maana ntakuwa na ela nyingi sana.

Aisee siamini yani
Unamaana gani?Yaan mtu.. Hajue kutafuta hela then hashindwe kuhesabu...!!
We chelewa tu