Nimepata taarifa Jangwani Kuna vurugu tafadhalini mliopo jirani na hapo mtujuze kinachoendelea.
Wanataka kubomoa nyumba za bondeni, vijana wanarusha mawe vibaya.
Kama unaelekea au kutoka mjini usipite huku kabisa muda huu.
Wakazi wa Jangwani jijini Dar es Salaam, leo wamepambana na polisi na...
Ninahitaji godown liwe maeneo kati ya Mikocheni, Kawe, Mwenge pia Mbagala. Liwe na eneo la 1 heka hadi eka moja na nusu. Budget 800000$.
Mmwenye kujua aje PM asanteni.
Hata wakijifanya kelele nyingi kumzunguka puttin bado Russia iko juu shida ya Russia ni technology ya electronic ndio iko nyuma ila kwa vifaa mrusia yupo juu RED ARMY .kuna balistc missile inaitwa R s SATAN Inauwezo wa kuitokomeza dunia kwa 30sec.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.