hakuna zoezi lisilo na changamoto,Big up kwa vyombo vya Habari kwa kuliona hilo na kulimulika,ni imani yetu kwamba serikali yetu na wadau wanaohusika watalifanyia kazi mara moja ..
SASA MLITAKA ASEME UONGO,!!?,NAPE HAJAPATA BADO MATOKEO,ana,mambo mengi ya kufanta,akiyapata atatueleza kinachoendelea NA MIKAKATI YA CCM KURUDISHA HESHIMA YAKE,UONGO HAUFAI,NAPE NI MTU MAKINI .
KINADHARIA UPINZANI WAMESHINDA,LAKINI KIVITENDO CCM BADO NI MSHINDI,,
WAPINZANI MNAPASWA KUTAMBUA KWAMBA NYINYI BADO HAMTOSHI KUIONGOZA HII NCHI,,
LAzima mjue kutofautisha Kati ya Ikulu na ufipa,,,
TUME YA UCHAGUZI WAKO MAKINI SANA,WANALIJUA HILO,,WATAREKEBISHA MAMBO YOTE,,WANANCHI TUPUNGUZE MUNKALI,,PIA ccm wako makini sana,,hilo haliwezi kutokea kabisa,,,,,uchaguzi utafanyika ,wa huru na wa haki na kama kawaida ccm ni ushindi wa kishindo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.