Recent content by Veroh001

  1. Veroh001

    Nahitaji business partners biashara ya dhahabu

    [emoji23][emoji23]na kuna mtu ataamini ichi kitu
  2. Veroh001

    Kwanini nashauriwa nioe?

    Nna mdogo wangu wa kiume ana 22 years. Alikua anamhudumia demu wake. Ilibid niingilie kati maana mtu umepanga, huna akiba yoyote na hujaweza kusimama mwenyewe unaanzaje kuoa .
  3. Veroh001

    Hivi kwanini Kanisa lisiruhusu waumini kuoa mke zaidi ya mmoja? Sioni sababu ya kukataza

    Unashangaza ujue. Neno limesema wapi alieoa haendi mbinguni. Na kuhusu kuwaingilia watoto hio ni tabia ya mtu tu. Mbona mtaani kuna option nyingi za wanawake lakini bado wanawabaka watoto. Kuna wengine wanaweza jizuia kwa ajili ya kristo kama huwezi hata biblia imeandika oa ili mwili usiwake...
  4. Veroh001

    Hivi kwanini Kanisa lisiruhusu waumini kuoa mke zaidi ya mmoja? Sioni sababu ya kukataza

    Una uhakika na unachosema. Ila sio shida maana ni tabia ya wabongo kuongea bila kuwa na uthibitisho. Mathayo 19: 12 "Maana kuna sababu kadhaa za kutoweza kuoa: Wengine ni kwa sababu wamezaliwa hivyo, wengine kwa sababu wamefanywa hivyo na watu, na wengine wameamua kutooa kwa ajili ya ufalme wa...
  5. Veroh001

    Orodha ya Wasanii Bora wa Muziki wa Kizazi Kipya mwaka 2022

    Umeangalia ninj kwny social media Na umetumia kigezo gani kupanga hii list. Na kama ni streaming platforms zipi zimeonesha wamesikilizwa zaidi
Back
Top Bottom