Ukweli tatizo kubwa la kukwama mikakati yote ni Almashauri zetu wapo kiupigaji kuanzia kupata hata hao local fundi wanawalaximisha wakuu wa shule na kamati zao wafanye wanalota wao.
Alimashauri hazina uchungu wowote wapigaji tu
Ebu tupeni maelekezo mteja anataka kufungua kiwanda kidogo cha matofari anahitaji three phase na nguzo kama 3 nn kifanyike ili apate huduma hii mapema maana nimzunguko husiokuwa na afya
Hii ipo kimala temboni
Nadhani ntapata majibu kupitia hapa
Kwann nmb msiwezeshe local fundi wanaojenga mashule na mahosipital kwa force acount
Maana malipo mnafanya conectin na almashauri malipo yanapitia kwenu mmakata pesa zenu hii imekaaje
Mm nadhani mgenipa namba ya meneja kituo cha mbezi ya kimala haiwezekani miezi mitatu kila cku wanasema wanakuja niko giza na mita walitoa wao kuna uzembe mpaka inakela tanesco mnakwamishwa na watu wachache sana TB 4394 ya mwezi wa tatu naombeni namba ya meneja hapo tafadhari
Sent using Jamii...
Mm nimteja nimechoka na ahadi za tanesco mbezi ya kimala tangu mwezi wa tatu mpaka leo nikuambiwa mafundi wanakuja ila sasa nimechoka wafuate mita yao waliacha kwa mjumbe wa serikali za mtaa ntafunga solar tu
TB 4394 ya mwezi watatu kimala bonyokwa vinane
Nimefuatiria tanesco kimala nimechoka...
Mm nimteja nimeleta malalamiko tanesco mbezi baada ya gari kugonga nguzo tuliwajulisha wakaja watu wa emergency wakakata umeme na mita wakaiweka kwa mjumbe wa serikali za mtaa
Tangu mwezi wa 3 mpaka leo hawajaturudishia umeme na tulipewa TB namba 4394 tumezunguka tanesco mpaka tumechoka na umeme...
Kwanza mvua zinazoendelea mnaziona
Pili miundombinu ya tanesco nichakavu kipindi hiki nguzo zinaanguka line zinakatika nadhani ni kuwapa mda wakafuatiria meneja nae anaishi mwanza na watumishi wote wa tanesco wanaishi mwanza cdhani kama watajiweka nawao gizani huyu meneja nimpiga kazi na anajiwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.