wadau poleni na majukumu ya kila siku, mi ni mwalimu nimejiendeleza kutoka vodafasta hadi shahada, masomo MATHEMATICS AND ECONOMICS nimemaliza chuo kikuu mwaka huu, nimerudi kituoni kwangu shule mojawapo mkoani shinyanga, Kwa kweli mazingira ya kufanyia kazi ni magumu hakuna nyumba ya kuishi ...