Naona kuna mfumo fulani wa Uchawa mle kwenye Kamati Kuu kiasi kuwa ni vigumu sana kwa TL kutoboa. Makada wengi vijana wanataka mabadiliko lakini wengi wa kamati kuu wananufaika na mfumo uliopo
Tunapoelekea kwenye Uchaguzi mkuu wa chama nimeshangazwa na kuvunjwa moyo na kauli ya Baadhi ya makada wa chama.
Hususan Yeriko, Boniface, Kigaila miongoni mwa wengine. Tangu makamu mwenyekiti TL alivyotangaza nia ya kugombea nafasi ya uenyekiti hao makada wamejitokeza hadharani na kumshambulia...
Huyu Mbowe ndiye aliyemleta Lowasa mwaka 2015 na kumsafisha hadharani kwa mbwembwe. Tangu kipindi hicho alipiteza credibility i ni vigumu sana kumshawishi mtu mwenye akili timamu kuamini kuwa mbowe yuko kwa maslahi ya chama. Ni dhahiri yuko kwa maslahi binafsi.
Wakati mwingine anasingiziwa tu. Ukweli ni kuwa mama ni tofauti kabisa na mwendazake kwa nyanja zote. Hivyo mwenyekiti kusota mwendazake aachwe apumzike.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.