Recent content by VECTOR

  1. VECTOR

    Huawei inashindwa kuinstall

    Nina simu aina ya Huawei G 730, nikitaka kuinstall program yoyote inaniandikia the Space is not enough, delete some programs. Nifanyeje wakati nina Memory card ya GB 8!
  2. VECTOR

    Kila unalotakiwa kujua kuhusu IPTV (kuangalia TV kwa kutumia internet)

    Wekeni namba zenu za simu, ili tuweze kuwatafuta kwa maelezo zaidi,Mimi bado natumia Exmaster( avatar,spycom) wanazingua, mara wapo leo,siku tatu hawapo hewani? Wanaboa,Mimi nataka niweze kuangalia mpira kupitia laptops
  3. VECTOR

    Akaunti ya spycom kwenye dikoda

    Naomba account ya Spycom,Ninatumia decoda Aina ya Xmaster,Mwenye kingamuzi aina hii anisaidie, Number yangu ni 0713451545
  4. VECTOR

    Natafutwa na HESLB na Mkuu wa Mkoa

    Njoo huku tufuge,Nyie akili zote mmeweka kwenye kuajiliwa,
  5. VECTOR

    Magufuli: IPTL ni mkataba wa ovyo, Serikali haitaendelea nao!

    Wafuatiliwe wote waliohusika
  6. VECTOR

    Watanzania tunamsifia Magufuli kwa kuvamia maofisini?

    Ndo kwanza anaanza,Hawezi kufanya maombo yote kwa Pamoja kama unavyotaka wewe, Mishara ni mpaka Bajeti mkuu,Hebu fikiri kwanza kabla ya kutoa Uzi
  7. VECTOR

    Dar es Salaam - Matukio na Matokeo ya Uchaguzi Mkuu 2015 kama yanavyotujia

    Watu tumehamasika saaana kupiga kura, Sijawahi kuona watu tumeamka saa 11
  8. VECTOR

    Ujue baadhi ya utajiri wa Nchi ya Tanzania

    Tz ilipata uhuru mwaka 1961 ina miaka 54 tangu ipate uhuru ikiwa ni ya kwanza Afrika Mashariki. 2. Tz Kwa miaka 38 hii inchi imeongozwa na ccm peke yake ambayo ni zao TANU na ASP. 3. Tz ni nchi ambayo haijawahi kupata majanga makubwa kama matetemeko ya ardhi, magonjwa ya mlipuko kama ebola...
  9. VECTOR

    Magufuli atafufua viwanda, na atuambie aliyeviua viwanda vyetu.

    Naona hao akina Lowasa na Sumaye ndio waliopiga hela za Escrow,Mikataba 17 ya siri na Wachina, Ndiyo walioplan barabara za kwenda kwa kasi ndani ya barabara ndogo, Tuwachague CCM ambao wametufikisha hapa?
  10. VECTOR

    Mgombea atoa machozi

    CCM tumewachoka ,Lowasa lazima
  11. VECTOR

    GE2015 Mzee Mkapa: Wanaosema Wanataka Kuikomboa Tanzania ni Wapumbavu na Malofa

    Rais mstaafu B.W.Mkapa kanikwaza sana kwa kauli aliyoitoa ya kutuita watanzania tunaotaka ukombozi kutokana na changamoto zinazotukabili kuwa ni wapumbavu na malofa. Hivi kweli mimi kwa mfumo huu uliopo unaonifanya kuwa maskini kutokana na mazao yangu kunyimwa bei nakuwa mpumbavu na lofa? Huku...
  12. VECTOR

    Vitu vitakavyonifanya nimchague Lowassa

    Yes,Kijani itoke madarakani,Miaka 50 waliyotuongoza inatosha
  13. VECTOR

    Baada kukatwa, atatangaza mali zake na kuhamia ACT?

    kuu na kupinga maamuzi hayo, unayo hoja na pia unao wajumbe wa kutosha ndani ya Halmashauri Kuu, uzoefu unaonyesha kuwa ni maajabu pekee ndio yanayoweza kukurudisha tena kwenye kinyang'anyiro hicho ndani ya CCM. Kwa sasa wafuasi wa Lowassa hawataki tena kusikia kulalamika kuwa unaonewa wala...
  14. VECTOR

    Wapinzani bado kuongoza tanzania

    Wewe unataka CCM waongoze hadi lini?
  15. VECTOR

    Uzazi

    Ni dawa gani huweza kurudisha uwezo wa mwanaume kumpatia mwanamke mimba?
Back
Top Bottom