Kama mwalimu daladala unaandika 'daradara" Hao watoto wetu si jui itakuaje.Mi ntawalipa tu hakuna namna! Ila dah nakahurumia ka mshahara kangu ka ualimu, maana katabaki kadogo!! Ila namshukuru mkuu wetu mwema wa Dar es salaam mh, makonda kwa kutusafirisha bweleleee, kwenye madaradara!