Unataka kujua hali halisi ya Tanzania?
-Uchafu uliojaa kila mahali huku manispaa wakikusanya ushuru kujinufaisha wenyewe na wananchi wakiendelea kuugua na kupoteza fedha nyingi wakijiuguza, hakuna matibabu ya bure ujue.
- Gharama kubwa inatumika kulipana posho, overtime, mapambo ya uwanja na...
Wanaolalamika lazima walikuwa wanafaidika na mfumo mbovu wa kujifanyia watakavyo. Sisi tuliokuwa nje ya system tunaona kawaida tu mbona? Namuombea Mungu huyu jamaa aturudishe kwenye mstari.
Nampa pongezi kwa kutambua hazina hakuna kitu na kuchukua hatua kukabiliana na hiyo hali. Waliopita walikuwa majanga. Hata majumbani kwetu hali ikiwa ngumu tunafunga mikanda na kujibana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.