Recent content by VAPS

  1. VAPS

    JF challenge ya "NO REFORMS, NO ELECTION": Target replies 3K

    No reforms no election
  2. VAPS

    Chama cha Majaji na Mahakimu Tanzania chamtaka Rostam Aziz kuthibitisha tuhuma alizotoa dhidi ya Majaji na Mahakama ya Kisutu

    Ipo mifano mingi mbali ya simu hata matamko Mh.Rais Rejea kesi ya Mbowe, Kesi za Mashehe... Kwa ufupi muhimili mahakama upiga magoti kwa Rais Rejea mfumo wetu bajeti, hotuba za viongozi Mahakama kuomba na kumshukuru Mh. Rais....
  3. VAPS

    Spika Tulia anasema wamepitisha makubaliano na sio mkataba. Swali langu kwani makubaliano sio mkataba?

    Salute mkuu.Natamani haya yawafikie Watanzania wengi iwezekanavyo.
  4. VAPS

    Prof Shivji: Nini kifanyike ili kujitoa kwenye mkataba wa DP-World?

    Tunazunguka mbuyu , Bunge la CCM ndio kiini Cha tatizo. Halina meno. Ni mwendo wa kusujudu maelekezo ya mwenyekiti wa chama.
  5. VAPS

    Uchambuzi wa TLS kuhusu Mkataba wa Bandari, ipatikane nakala ya Kiswahili

    Sahihi elimu, Watanzania wa Leo si wa jana.
  6. VAPS

    Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

    Mnakumbuka baada ya ziara Dubai, " wanangu nimezunguka huko nikapata ... Zijenge madarasa 20 kila wilaya...." Chawa wote " kapu la mama hiloo" Tukatae aibu na ujinga huu
  7. VAPS

    Huu ni Mkataba mkubwa mbovu kuwahi kusainiwa na Rais tangu tupate Uhuru

    Matokea ya kutaka kuvaa viatu vya JPM, na kutanguliza njaa. Ni aibu Kwa taifa kubwa na huru lisilokuwa na mifumo dhabiti checks and balance
  8. VAPS

    Nini hatma ya ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo (China project) ikiwa bandari zote kachukua Mwarabu wa Dubai?

    Huenda Chinise hawakufika offer wadau awamu ya sita, wakidhani goodwill ya awamu ya nne itawabeba, Mwarabu akaweka fungu mezani." Mchuzi hunywewa wa moto"...Waswahili
  9. VAPS

    Rais Samia, Serikali kusimamisha ghafla uuzaji wa chakula nje ya nchi ni unyama dhidi ya wafanyabiashara na wakulima

    Kama taifa tunapaswa kuwa na sera na miongozo zinazotabirika.Haya matamko ya dharula ni aibu na fedheha kwa taifa kubwa Kama Tanzania.
  10. VAPS

    Rais Samia unao muda wa kujisahihisha; Pokea maoni ya kuboresha mkataba au futa mkataba wa DP WORLD

    Amina Mkuu, Asante kwa uzalendo wa kweli kwa taifa lako. Mwenye sikio na asikie.
  11. VAPS

    Bunge Hili Batili Lizuiwe Kujadili Chochote Kinachohusu Rasilimali za Taifa

    Sijui kwa hatua hii Nini kinaweza kufanyika. Kwani tumetanguliza njaa na matarajio ya haraka yasiyo tabirika vema.
  12. VAPS

    Tufanyeje ili Marais Wastaafu Wasijutie Maamuzi yao ya ovyo waliyoyatenda walipokuwa Madarakani?

    Maboresho Katiba yajayo tuweke Sheria Kali utumishi wa umma. Ikiwemo kufilisi chain nzima.
  13. VAPS

    Moshi: Afungua kesi kuzuia kadi na michango ya harusi

    Ndoa ndoano, Ila bado Ushamba mwingi michango ya harusi.
  14. VAPS

    Kutoka Serikali imefanya, hadi Rais ametoa

    Miongoni mwa urithi Legacy ya Mzee Baba, apumzike kwa Amani.
Back
Top Bottom