Ipo mifano mingi mbali ya simu hata matamko Mh.Rais Rejea kesi ya Mbowe, Kesi za Mashehe...
Kwa ufupi muhimili mahakama upiga magoti kwa Rais Rejea mfumo wetu bajeti, hotuba za viongozi Mahakama kuomba na kumshukuru Mh. Rais....
Mnakumbuka baada ya ziara Dubai, " wanangu nimezunguka huko nikapata ... Zijenge madarasa 20 kila wilaya...."
Chawa wote " kapu la mama hiloo"
Tukatae aibu na ujinga huu
Huenda Chinise hawakufika offer wadau awamu ya sita, wakidhani goodwill ya awamu ya nne itawabeba, Mwarabu akaweka fungu mezani." Mchuzi hunywewa wa moto"...Waswahili
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.