Msaada kuna mdogo wang anataka kuapply technical college bt kila akiingiza index yake system inaandka error yeye kamalza mwaka jana 4m 4 je wenyew hawaruhusiwi kufanya application kwa sasa?
Everyone is Welcome!
Unlimited Job Positions!
Anyone can Join!
No Experience required!
Instant Account Setup and Money Making!
You can Make 1200 Dollars Today, Check Job after creating account and login to your panel
OnlineTaskPay.com Earn 10$ per 10 seconds tasks, Earn 2000$ monthly - Online Job
wana jf mbona 2nakuwa waongo kiac hcho km ujui nyamaza kulkokuandika vi2 ambavyo huna uhakka hakuna transfer znazoendelea wapendwa kwanza tcu wanajiandaa kuvunja kamati hv soon 2tafute chakufanya 2 kwa wale ambao kmenuka kla sehem au nenda chuo cha awal
by ushaur ucpende kufuatilia mambo ya nchi hii nbora ukarabuyu 2 ya ngoswe mwachie ngoswe bt
ndoto bado zpo pale pale km anania ya kuxoma md kunanjia zakufanya
i/ataapply mwakan kwan elimu haina mwisho ackate tamaa
ii/anaweza kwenda moja kwa moja mpaka chuon akaombe nafac bt akubal kuxoma...
mbona sheeedah sana subira ya vuta heli bt ngoja ngoja yaumiza ma2mbo sa kwa walio kata tamaa kama mimi 2tafuten cha kufanya manake mwaka mzima co mchezo
by mtazamo 2 co topic
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.