Recent content by vanpoul

  1. vanpoul

    Sauti yako ina kutafsiri kama mtu wa namna gani?

    Ahahaha hahahahaha🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂yangu nikiwa nasound demu wanaichukulia mtu fulani hivi innocent na mwaminifu kumbe bongeeee la ng'auu hatari ole wake akichanganya ndo atajuta kujifananisha na sauti yangu
  2. vanpoul

    Raila Odinga: Sisi hatuna Police Force kama Tanzania bali tuna Police Service lakini nashangaa bado wana tabia za Polisi wa Mkoloni!

    ,🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣,amakweli wanachekesha sana hawa wakenyaa asee
  3. vanpoul

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    Ndugu kuna mda mambo mengine niyakusikitikia maana vijana ambao tunatakiwa kuwa very compressive kwa maendeleo yetu na kupunguza vichochezi maana sisi ndo bado tunasafari ndefu ya kulipeleka taifa letu mbele ndo haoo tunasaport ujinga ,jamani hawa wazee wanaotaka katiba mpya akina WARYOBA umri...
  4. vanpoul

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    Hatari San asee 🤣🤣🤣
  5. vanpoul

    Ndani ya miaka 4 ya Rais Samia, TRA yakusanya TZS 121 Trilioni

    Kwann unaongelea tu makusanyo ya pesa bila kuainisha na kuoanisha mkopo tunaodaiwa nchni??? Kiasi kwamba pesa tunayokusanya kwa walipa deni ni ndogo kuliko pesa tunayodaiwa sa ni sawa na kupiga hatua za mlevi kaka
  6. vanpoul

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    Una facts za nguvu sana kakaaaa we noma hawa ndo thinkers tunawapenda na si kubwabwaja ujinga tyuu,pawe na partly reforms na si full reforms
  7. vanpoul

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    👏👏👏👏👏👏👏👏
  8. vanpoul

    Ndani ya miaka 4 ya Rais Samia, TRA yakusanya TZS 121 Trilioni

    Vizuri,Na twambie ndani ya miaka mi4 mama ako huyo wa kambo samia kaweka deni la mkopo tanzaia kiasi gani ?????✍️✍️✍️✍️✍️✍️
  9. vanpoul

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    Tuna haki ya kuwa na katiba mpya sawa hila tuangalie tusije kuwa ka hao wakenya ambao walitaka katiba mpya ikawapeleka maandamanoni ,kama tutpewa nafasi ya kutunga rasimu za katiba basi tuwe makini San katika mawazo yetu tusije tukajuta kwa bad outcomes mbelen
  10. vanpoul

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    Shida wengi wanabwabwaja bila ata fact yoyote
  11. vanpoul

    Kenya inaangamia kipuuzi kabisa

    Hivi niwaulize wote ambao mnataka damu imwagike ,hivi watanzania wkilianzisha kuna mmja wenu humu yuko tiali kushika ata gobire kutangulia msitari wa mbele ,tutmie Hakiri kwanza kabla ya kutenda ,inabidi tuwe na mahamzi yenye busara na hekima ,sisi ni watanzania na si wasudani wala wakenya...
  12. vanpoul

    Raila Odinga: Sisi hatuna Police Force kama Tanzania bali tuna Police Service lakini nashangaa bado wana tabia za Polisi wa Mkoloni!

    Amakweli wakeny wajinga kweli na wezid kuiponda nchi yetu ,kama wenyewe wanatumia police service kwann wanapigwa mawe kila siku na raia wao na vituo kuchomwa moto na hawachukui hatua sa ndo mjue police force inafaida kubwa kuliko PS SYSTEM,na wakome hao mbwa kuingilia maswala ya kidiplomasia na...
  13. vanpoul

    Kwa Tanzania maisha ya kijijini ni magumu zaidi kuliko mjini kwa ujumla

    Oaaaa ni nomaa aseee kuna vijiji wanakunywa maji pamoja na ng'ombe had na mbwa kisima kimoja ,koo maisha ya vijijn ni magumu baraha
  14. vanpoul

    Kwa Tanzania maisha ya kijijini ni magumu zaidi kuliko mjini kwa ujumla

    Kaka unatetea nini huo ndo ukweli, kumbuka siku zote ukikosa kitu na ukapata kidogo lazima ukifanye kukizoea hili uendelee ku stain lakn shortly kijijini wanamaisha yasolidhisha katika huduma za kijamii na kiuchumi pluss miundombinu
  15. vanpoul

    CCM imekosa Mvuto hadi imefika hatua inajipendekeza kwenye Mikusanyiko ya watu wengine

    Hiyo iko wazi kama ya mbuzi wadauu ,ngoja inyeshe hila baada ya miaka miwili mbele ccm tutaiskilizia kwenye mabanda ya sinema kama sinema zetu ,haitakuwa na followers wowote wale labda machawa walioajiliwa na mama yako wa kambo
Back
Top Bottom