Ahahaha hahahahaha🤣🤣🤣🤣😂😂😂😂yangu nikiwa nasound demu wanaichukulia mtu fulani hivi innocent na mwaminifu kumbe bongeeee la ng'auu hatari ole wake akichanganya ndo atajuta kujifananisha na sauti yangu
Ndugu kuna mda mambo mengine niyakusikitikia maana vijana ambao tunatakiwa kuwa very compressive kwa maendeleo yetu na kupunguza vichochezi maana sisi ndo bado tunasafari ndefu ya kulipeleka taifa letu mbele ndo haoo tunasaport ujinga ,jamani hawa wazee wanaotaka katiba mpya akina WARYOBA umri...
Kwann unaongelea tu makusanyo ya pesa bila kuainisha na kuoanisha mkopo tunaodaiwa nchni??? Kiasi kwamba pesa tunayokusanya kwa walipa deni ni ndogo kuliko pesa tunayodaiwa sa ni sawa na kupiga hatua za mlevi kaka
Tuna haki ya kuwa na katiba mpya sawa hila tuangalie tusije kuwa ka hao wakenya ambao walitaka katiba mpya ikawapeleka maandamanoni ,kama tutpewa nafasi ya kutunga rasimu za katiba basi tuwe makini San katika mawazo yetu tusije tukajuta kwa bad outcomes mbelen
Hivi niwaulize wote ambao mnataka damu imwagike ,hivi watanzania wkilianzisha kuna mmja wenu humu yuko tiali kushika ata gobire kutangulia msitari wa mbele ,tutmie Hakiri kwanza kabla ya kutenda ,inabidi tuwe na mahamzi yenye busara na hekima ,sisi ni watanzania na si wasudani wala wakenya...
Amakweli wakeny wajinga kweli na wezid kuiponda nchi yetu ,kama wenyewe wanatumia police service kwann wanapigwa mawe kila siku na raia wao na vituo kuchomwa moto na hawachukui hatua sa ndo mjue police force inafaida kubwa kuliko PS SYSTEM,na wakome hao mbwa kuingilia maswala ya kidiplomasia na...
Kaka unatetea nini huo ndo ukweli, kumbuka siku zote ukikosa kitu na ukapata kidogo lazima ukifanye kukizoea hili uendelee ku stain lakn shortly kijijini wanamaisha yasolidhisha katika huduma za kijamii na kiuchumi pluss miundombinu
Hiyo iko wazi kama ya mbuzi wadauu ,ngoja inyeshe hila baada ya miaka miwili mbele ccm tutaiskilizia kwenye mabanda ya sinema kama sinema zetu ,haitakuwa na followers wowote wale labda machawa walioajiliwa na mama yako wa kambo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.