Unajua unapo amua kuolewa ni lazima uwe na historia ndefu na anae kuja kuku oa, nimeweka hii ili nipate ushauri na niweze kujua mambo mengi zaidi kuhusu love, but ushauri mlio nipa nitaufanyia kazi coz ilikuwa ndiyo dhumuni langu!
Nina umri wa miaka 20 na kwa sasa nahitaji kuwa na mpenzi ambaye ni lazima aje kunioa
SIFA
1.awe anajitambua yeye ni nani na anatakiwa afanye nini.
Hivyo kama wewe ni mwana jf mwenzangu rafiki yangu ktk pm naomba unipeushauri juu ya hili suala langu
nimeona nitafute mpenzi mapema ili niweze...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.