Recent content by vanlizer_fx

  1. vanlizer_fx

    Wimbo wa Marioo na Country Boy ni fire

    Habari wana jamvi, kama umepata kusikiliza wimbo wa marioo na country boy utakua unajua jinsi gani wameua kwenye hilo goma. Wimbo ni mkali sana na wametembea kwenye beat vizuri
  2. vanlizer_fx

    Fursa za kazi mkoa wa taboro

    Habari wana JForums Nafasi za kazi katika wilaya ya tabora zimetoka unaweza kutazama hapa
  3. vanlizer_fx

    Biashara ya hisa za kigeni imekuwa na ukakasi kwa Watanzania

    Robbinhood haikubali Tanzania nmetumia TD wamesema hawa operate tz
  4. vanlizer_fx

    Biashara ya hisa za kigeni imekuwa na ukakasi kwa Watanzania

    Nlishaga MD kuhus stocks hajibu hata Leo twitter nmemuomba atuambie broker gan an a support Tanzania trader kununua stocks hajb
  5. vanlizer_fx

    Naomba kujuzwa zaidi kuhusu UTT

    Habari wana jamvi Leo ningependa kufahamishwa zaidi kuhusiana na utt. Jinsi inavyofanya kazi. Jinsi ya kununua kama unaweza kujisajili na kuwekeza kwa watu tulio mbali na DSE Jinsi ya kupata faida na jinsi ya kutoa pesa [emoji116][emoji116][emoji870][emoji113][emoji870][emoji113]
  6. vanlizer_fx

    Ukinunua simu online (Mfano Ebay au AliExpress) kuipata ni bahati nasibu

    [emoji23][emoji23][emoji23]we jamaa utakua polic hizo ova afande ova
  7. vanlizer_fx

    Unasubiri nini kupata pesa kwenye chimbo hili

    Think big and grow rich by Napoleon hill
Back
Top Bottom