ahsante kwa elimu nzuri. nmeeelewa huyu katumwa na nani kujib la mkubwa wake
HUYU NDIYE RAIS WA NCHI 2020
Na, Thadei Ole Mushi
Kuna watu bado wanaamini kuwa propaganda inafanya kazi kwenye siasa zetu za Tanzania. Propaganda zilikiwa zinafanya kazi kuanzia Kipindi cha Mkapa Kurudi Nyuma ila...
Tundu ni 'unbitabo' wakimweka selo huwa anasikiliza maabusu na kujua namna haki inavyopindishwa ya kufikishwa mahakaman kwa mtuhumiwa baada ya mufa fulan kupita tangu akamatwe. naimani wanampa nafasi ya kueneza uharakati mahabusu na magereza. mtaja sikia kitakachotokea ktk magereza yetu baada ya...
Nyumba Zilizowekewa Kinga na Mahakama Zabomolewa naTanroad
MUUNGWANA BLOG /
Wakala wa Barabara Tanzania (Tanroads), jana ulibomoa nyumba tatu zilizopo Kimara Stop Over, jijini hapa ambazo ni kati ya 286 zilizowekewa kinga ya muda na Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi.
Hiyo ni sehemu ya...
hapo sikia watakachokuta hata tundu atashangaa mana atakuwa hajui kama amewah miliki kile litakachokutwa ndani. ila ndo kimekutwa ndani kwake.
Sent using Jamii Forums mobile app
DC aliyemjeruhi mzazi kwa kipigo alipa mbuzi aachiwa
source: MUUNGWANA BLOG
MKUU wa Wilaya ya Chemba mkoani Dodoma, Simon Odunga, ambaye hivi karibuni alimcharaza viboko mzazi wa mtoto aliyemtuhumu kupiga mawe gari lake, Chindika Pingwa, amemwomba radhi mzazi huyo na kumpa zawadi ya mbuzi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.