Mbowe kakimbia ofisi?

Mbowe kakimbia ofisi?

Mwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.

Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.

Jikite kupata jimbo achana na Mbowe na Chadema ubunge wa viti maalum siyo dili, ni ushauri tu take it or leave it.
 
Baada ya kupigwa nondo na Tundu Lissu, mmeamua kuhamishia mashambulizi yenu kwa Mbowe?
 
Mbowe yupo kwenye ziara za kata zote kwenye Jimbo lake la Hai..

Na nyie Mkiti wenu yupo wapi??

Bombardier imempa za uso...hahhahahahaahah..

Ujanja wote mfukoni..

Alifikiri kununua Ndege kwa kuchota pesa zetu bila idhini yetu kupitia Bunge na kutofata Sheria ya Manunuzi ndio ujanja..!!??

Ona alivyoona aibu hata Rwanda kashindwa kwenda wakati role model wake alipokuwa anaapishwa..

Haya wale wa meli ya samaki aliyoikamata wanadai Mabilions mengine na hukumu ilishatoka walipwe..

Yani huyu ni mtu wa kuitia hasara tu hii Nchi..

Utasikia sasa hivi na Boing Dreamliner limedakwa hukohuko kwa Manufacturer.
hivi watanzania uzalendo umepotelea wapi? yaani mtu anaandika kama hayawani kwa kufurahia kabisa kwamba nchi inapata matatizo kwamba ni jambo zuri kabisa na la kufurahisha. hvi suala kununua ndege ni la maslahi ya nani? ni la mtu binafsi au taifa? kwahiyo ni bora nchi ibaki bila ndege wala shirika la ndege kwasababu kufanya hivyo ni kulitia hasara taifa. kweli uwandazimu una fani siyo lazima kuokota makopo...
 
He's busy playing catch up, still he'a been pulled soo far away!!
 
Mwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.

Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.
usisahau na lile deni la wachina wa samaki wa magu... lazima mkamuliwe mwaka huu tena sana coz mnajifanya mnajua sana kumbe mnaungua sasa
 
hivi watanzania uzalendo umepotelea wapi? yaani mtu anaandika kama hayawani kwa kufurahia kabisa kwamba nchi inapata matatizo kwamba ni jambo zuri kabisa na la kufurahisha. hvi suala kununua ndege ni la maslahi ya nani? ni la mtu binafsi au taifa? kwahiyo ni bora nchi ibaki bila ndege wala shirika la ndege kwasababu kufanya hivyo ni kulitia hasara taifa. kweli uwandazimu una fani siyo lazima kuokota makopo...
me ndo nafurahi mpaka nakasirika mana kwanza hta alete midege 1000 siipandi na hainihusu so acha nichekelee tu. umesahau na wale wachina waliowashinda kesi ya samaki.. mwafwaa lelo.. tabia ya kukulupuka imewakost dawa ni kulipa tyuu muache longolongo
 
hivi watanzania uzalendo umepotelea wapi? yaani mtu anaandika kama hayawani kwa kufurahia kabisa kwamba nchi inapata matatizo kwamba ni jambo zuri kabisa na la kufurahisha. hvi suala kununua ndege ni la maslahi ya nani? ni la mtu binafsi au taifa? kwahiyo ni bora nchi ibaki bila ndege wala shirika la ndege kwasababu kufanya hivyo ni kulitia hasara taifa. kweli uwandazimu una fani siyo lazima kuokota makopo...
kama unataka tuonyeshe uzalendo mwambie sizonje aanze yeye kuonyesha kwa kuwapa wanachi uhuru wa kuongea yanayo ihusu inji yao bila kamatakmata ya kijinga. maana mkiambiwa ukweli tu skuizi mnageuza mnasema uchochezi afu mnasema hatuna uzalendo mnataka uzalendo upi... mnaofanya nyie wa kuwafunga kamba za viatu na kutoa skamoo mkuu!!! shame!!!
 
hivi watanzania uzalendo umepotelea wapi? yaani mtu anaandika kama hayawani kwa kufurahia kabisa kwamba nchi inapata matatizo kwamba ni jambo zuri kabisa na la kufurahisha. hvi suala kununua ndege ni la maslahi ya nani? ni la mtu binafsi au taifa? kwahiyo ni bora nchi ibaki bila ndege wala shirika la ndege kwasababu kufanya hivyo ni kulitia hasara taifa. kweli uwandazimu una fani siyo lazima kuokota makopo...
Wewe ni mpumbavu..
Huna akili kabisa.
Unajua taratibu za manunuzi serikalini wewe au unashangilia tu kununuliwa kwa ndege??
 
atakuwa amehudhuria mikutano ya kimataifa , maana rais haendi ,so kiongozi wa kambi ya upinzani akaamua kuiwakilisha nchi .
 
Mwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.

Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.
Nadhani bado anakata na kufunua sijui wapi huko.
 
Mbowe yupo kwenye ziara za kata zote kwenye Jimbo lake la Hai..

Na nyie Mkiti wenu yupo wapi??

Bombardier imempa za uso...hahhahahahaahah..

Ujanja wote mfukoni..

Alifikiri kununua Ndege kwa kuchota pesa zetu bila idhini yetu kupitia Bunge na kutofata Sheria ya Manunuzi ndio ujanja..!!??

Ona alivyoona aibu hata Rwanda kashindwa kwenda wakati role model wake alipokuwa anaapishwa..

Haya wale wa meli ya samaki aliyoikamata wanadai Mabilions mengine na hukumu ilishatoka walipwe..

Yani huyu ni mtu wa kuitia hasara tu hii Nchi..

Utasikia sasa hivi na Boing Dreamliner limedakwa hukohuko kwa Manufacturer.
Ila Sacco's ya wachaga kwa sasa imekosa mvuto!!. Chademaaaa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom