SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 50,087
- 75,519
Mwenyekiti wa Chadema amepotelea wapi? Tangu atoe tamko lililokosa mvuto katoweka kwenye viunga vya Ufipa.
Yeyote mwenye taarifa za nguli huyo wa kubadili gia angani atoe taarifa.
Jikite kupata jimbo achana na Mbowe na Chadema ubunge wa viti maalum siyo dili, ni ushauri tu take it or leave it.