Recent content by Vanellope

  1. Vanellope

    Nini faida kwa mtu kuzaa watoto?

    Maisha yana mambo ya ajabu sana unaweza kuzaa watoto wakakutesa hadi ukafa na presha au wakawa hazina kwako na unaweza uzizae ukajutia maisha au ukaishi the best life in this world
  2. Vanellope

    Kipi unafanya ili kujituliza wakati unapitia magumu?

    Pole sana, maisha yana changamoto nyingi ila nashauri kama kuna mtu unamwamini jaribu kuzungumza nae pia jichanganye usikae sana kwenye upweke
  3. Vanellope

    Uliwahi kuambiwa neno gani baya na ndugu yako na umeshindwa kulisahau hadi leo?

    Mim sio ndugu aliniambia ila kazini aisee, i even feel inferior[emoji24][emoji24][emoji24]
  4. Vanellope

    Kwanini Wanafunzi Wanaosoma Shule za Masista Wanawaona Masista Kama Makatili Sana Wasiofaa

    Kuna binadamu tu ambao wana ukatili ndani yao haijalishi ni sister au la! Ila mimi ni mkatoliki na nshakutana na masister ambao ni wema sana
  5. Vanellope

    Msaada: Viungo vya mwili wangu vinauma

    Nenda hospitali mkuu, rafiki angu aliumwa viungo akawa hawezi hata kuinuka kitandani baada ya kulala ilichukua mda sana kuja kujua alichokuwa anaumwa sema hakuishia pazuri. Wahi wahi vipimo
  6. Vanellope

    Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

    Po Pole mkuu, ila ndo maisha ila kila siku ya maisha yangu siwez acha kumkumbuka mama maana alipambana kufa na kupona kwa ajili yetu. Kuna siku aliumwaga tukiwa wadogo kwa mda kama wa zaid ya wiki mbili nahisi, tuliteseka sana kipindi kile
  7. Vanellope

    Ni changamoto zipi umewahi kupitia ukiwa katika hali ya umasikini?

    Nkikumbuka enzi nakuwa mama ambaye ndo hustler wa familia alivyopambana na sisi kwenye lile wimbi la umaskini😭😭 RIP dear mama japo matunda ya jasho lako hukuyaonja walao uliona milango inaaza kufunguka
  8. Vanellope

    TRA e-Filing system

    Hii system haiko poa kabisa, unakesha ukiingiza taarifa mwisho wa siku deadline ikifika unalamba penalt. Sijui kwa nin wasiuboreshe kama mifumo mingine mfano wa Nssf uko standard sana japo n mpya
  9. Vanellope

    Niulize chochote kuhusu biashara ya duka la rejareja

    Ngumu sana kweli maana kila nkienda kuhesabu stock nakuta short na ukiuliza hana hata majibu yenye mashiko
  10. Vanellope

    Niulize chochote kuhusu biashara ya duka la rejareja

    Je kama umempa mtu auze vitu ni njia gani rahis ya kumthibit awe makin asipoteze au kukopesha bidhaa bila kukumbuka?
  11. Vanellope

    Kuzaliana kunamsaidia nini kiumbe anayezaa?

    Interesting topic, ukizaa faida unayopata ni kupata mtu wa kukupenda , kukushika mkono kwenye hali zote. Japo pia unaeza zaa ukawa ndio umejibebesha mzigo rasmi
  12. Vanellope

    Kwanini vijana/watoto wengi waliotumikia Altareni Leo hii asilimia kubwa sio watu wa dini wala kusali

    Dini bna, the more you get to know about it the more you want to stay away from it. Binafsi nadhan kwenye haya mambo heri kujua tu yale ya msingi na usiwe front line kwenye mambo haya maana unaeza juta kufahamu dini. Ila no way out dini ni system ya kijamii ambayo sio rahisi...
  13. Vanellope

    Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro inakufa

    Kwa pombe, rombo ni hatari vijana wanazeeka kabla ya umri
  14. Vanellope

    Demisexual wanateseka sana

    This explanation 👏👏
  15. Vanellope

    Naomba ushauri: Miaka 18 iliyopita niliingia kwenye uhusiano na ‘Bi Mdogo’ na kuzaa naye watoto 2

    Maisha yana changamoto sana dah!! Mungu nishike mkono mimi
Back
Top Bottom