acheni mawazo mgando hapo cyo kuhuau akili ya mwafrika,hapo ni kuhusu kuweka miji safi kila siku jambo lisababishwalo na uzembe wa viongoz husika. usihukumu akili za mwafrika kijana
baadhi ya wadada punguzen nyodo maana ndo tabia zenu hizi mwisho wa siku usafanya kila dhambi unakuja kwa walewale uliowazarau unawaomba wakuoe noma sanaaa...
tatizo wakati mnatongozwa kipind upo na miaka jati 20-25 maringo mengi mwanachuo mara unataka bwna aliyesoma,mwenye hela na kusahau kuwa wanaume ni hawahawa unaowazarau leo unakuja kuwaomba wakuoe
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.