Recent content by Vandizo

  1. V

    Udhaifu wa Mwafrika

    yani ww zumbemkuu akili yako ndo dhaifu cyo yangu mkuu coz ushajiaminisha hvo na ndo itakuwa hvo.ila usije jf kutuaminisha upumbavuu
  2. V

    Udhaifu wa Mwafrika

    unaona sasa unavyowazaa halafu unakuja kutuhukumu wotee
  3. V

    Udhaifu wa Mwafrika

    acheni mawazo mgando hapo cyo kuhuau akili ya mwafrika,hapo ni kuhusu kuweka miji safi kila siku jambo lisababishwalo na uzembe wa viongoz husika. usihukumu akili za mwafrika kijana
  4. V

    Wanywaji wa Cocacola, soma hapa

    nina miaka 26 ctumii kilevi natumia cocacola tuu
  5. V

    Wanywaji wa Cocacola, soma hapa

    Acha kutudanganya mkuu
  6. V

    Kuna msichana hapa MMU kanichezea afu kaniacha

    kwa hyo ndo kakufanyia unyama huo wa kukuchezea kiasi hicho daaa
  7. V

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    KITUMBU TEZE KITUMBU -mhitimu kidato cha 4 pugu sec. 2011
  8. V

    Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

    jesca juster mbohoo - mwanafunz udsm becom first year 2014
  9. V

    Naamini nitampata atakayenifaa

    baadhi ya wadada punguzen nyodo maana ndo tabia zenu hizi mwisho wa siku usafanya kila dhambi unakuja kwa walewale uliowazarau unawaomba wakuoe noma sanaaa...
  10. V

    Naamini nitampata atakayenifaa

    tatizo wakati mnatongozwa kipind upo na miaka jati 20-25 maringo mengi mwanachuo mara unataka bwna aliyesoma,mwenye hela na kusahau kuwa wanaume ni hawahawa unaowazarau leo unakuja kuwaomba wakuoe
  11. V

    Naamini nitampata atakayenifaa

    kuolewa wito kama ushehe/upadre/uchungaji
Back
Top Bottom