Recent content by van_drakee

  1. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    Goodwill kiwanda ni kimoja tu ambacho Kiko mkulanga Kijiji cha mkiu . Lakini ofisi na showroom yetu iko Nyerere road karibu na Sido
  2. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    Hapana kiongozi ni vile mambo ni mengi sana pia nimebadilisha mawasaliano yangu kwasasa napatikana kwa Namba hii +255 748 572 367 napatikana muda wowote
  3. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Nimekosa chuo naomba ushauri

    Hili swala linaumiza sana , hii scenarios ilimtokea mdogo wangu nae ilikuwa hivi hivi alikuwa na 1 ya 7 so akakosa vyuo vya serikali na kuchaguliwa chuo Cha private ambacho Ada yake kwa mwaka pamoja na michango mengine inafika zaidi ya million 8 japo yeye alipata ela ya accomodations, ikabidi...
  4. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    Hizo apo
  5. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Naomba kujuzwa gharama za tiles hizi

    Unahitaji box ngap izo grade B
  6. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    500*500 mm kiongozi
  7. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    Karibu kiongozi
  8. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    50*50 ziko aina nyingi na zote zinabei tofaut tofauti Kuna FG 50*50 bei ni 29500 (hizi ni za rough azitelezi) PY 50*50 bei 29600 (hizi ziko full polished) PG 50*50 bei 29600 X 50*50 bei 29600 Pia kuna black SY 50*50 bei 38,000(hii ni full polished) HX 50*50 bei 29900
  9. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    Upo mkoa gani kiongozi maana Kila mkoa kunakuwa na bei yake. 50*50 zinakaa 7pc na jumla zinaanzia 100 nakuendelea
  10. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Zijue aina za tiles za Goodwill ceramic

    Zijue aina za tiles zinazozalishwa na goodwill Habari za muda huu wakuu leo nimekuja kwenu kwa kuwaelezea kwa uchache kuhusu tiles za Goodwill Kwanza kabisa goodwill ceramic ( T) company limited ni company Namba Moja kwa uzalishaji wa tiles kwa hapa Tanzania na ndio tiles zinazopendwa zaidi...
  11. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Weka Profile yako hapa, muajiri akiiona akufuate PM

    Good idea bro Profession: procurement and supply (registered with procurement board (Psptb ) Experience: 2 years(procurement officer and store office ) 3 year (sales supervisor) Education: Diploma Other profession : Driver ( certificate and driving license) Location : Dar es salaam Age : 27...
  12. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Naomba kufahamishwa haya kuhusu mikopo ya bajaji

    Pole sana ndugu hemedy nikushauri ipo company ya kukopesha Bajaj na pikipiki iko mwenge mpakani inaitwa watu credit , nakushauri nenda pale upewe maelekezo then utafanya assessment ni heli ukope kwenye iyo company ya watu au uendelee kumshawishi mzee akukupe bank au sehemu nyengine yenye riba ndogo
  13. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu Gari hizi aina Copper

    Uko sahihi kaka nyingi zinasumbua sana ila kama kakipenda anunue tu ,ila ajiandae tu kuwa na Namba za fund
  14. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Gari gani la milioni 4.5 linafaa kwa barabara za kijijini?

    Brevis ziko nyingi tu unapata
  15. van_drakee

    JamiiForums Tanzania Car4Sale Tunauza na kukopesha magari

    Vigezo vya kupata uo mkopo uko vipi
Back
Top Bottom