Mimi nakumbuka wakati wa JK.Kuna jamaa walikuwa wanauza openly kabisa.Yani anakuja asubuhi anapaki BMW lake maeneo fulani sitayataja hapa.Mateja wanakuja pale wanananua.Polisi wakifika pale.Wanaongea naye ana watoa.Biashara inaendelea.Bongo nyoso sana.
Hamna mfia dini kama Jaffo.Nakumbuka kwenye ishu ya kuchinja.Alikuja juu sana kupinga wakristo kuchinja utadhani hii inchi ni ya kidini.Walitaka kuzichapa na aluyekuwa mbunge kutoka mkoa wa Kigoma>>>Machali.
Mdini sana.Hafai hata kuwa kiongozi yule.
Sent using Jamii Forums mobile app
We have become the proxy colony of Rwanda without our knowledge.Hiko kitu kidogo tu.Tunajenga SGR kwenda Kigari so that we could give more power and influence to Rwanda over DRC which we could get by ourself.
Our economic intelligence sijui imeenda wapi?Peleka reli Kigoma,Mwanza na...
Kimsingi sijakubaliana na hoja yako.Kwa kutolea mfano nchi kama Uganda wamamtumia crane kama symbol yao.Haimaanishi ni dhaifu bali ni kwamba wanapatikana sana nchini mwao.Ukifika Uganda ni lazima ukutane na Crane.Ndio maana timu yao ya taifa inaitwa Uganda cranes.Kwenye bendera yao pia yupo etc...
Yule achana naye anafanya Dubailazation.Soon utasikia wabongo wanazamia kule.
Rwanda soon tu inakuwa Free Economic Zone and Trade hub kubwa Africa.
-Anasubiria tumfikishie Standard gauge Railway[SGR]
-Anajenga Airport mpya kubwa the size of Bole International airport ya Ethiopia.Hili kucompete...
Katika TV channeli zenye quality mbovu ya picha ni Channel ten,TBC,Clouds Tv,TvE ni very low in standards and professionalism.Mpaka leo bado zimeshindwa kujenga studio za kisasa angalau ata kwa level ya ITV na Azam media.
Ukienda Kenya Tv ndogo tu zina facilities zote za kisasa.Picha...
Only solution kwa Zanzibar ni kuakalia kimabavu tu.Au kupandikiza population ya wabara huko.Situation yake ni complicated.I don’t trust them kama partner wa Muungano.
Sijui KFC,Burger King,Macdonald etc hizo kwa nchi nzetu ni sehemu za middle class people kwenda kupata msosi,lakini ni cheap eating places kwa mataifa yenye uchumi mkubwa.Unfortunately middle class imeendelea kusinyaa katika awamu hii kuliko nyakati zozote.Kikwete aliijenga middle class,huyu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.