Sio udini kasema haki kasema ilichokisema dini ya Kiislam miaka 1400 ulopita
Huujui Uislam kaka bora nyamaza au isome vizuri dini ya Kiislam. Katika dini iliyomtukuza m'ke ni dini ya Kiislam
Laana za Allah ziwe juu yake hadi siku ya hukumu. Hapo walipofika Wazanzibari juu ya kila hali yao basi sababu ni yeye na genge lake lote. Wazanzibari walipata uhuru wao Disemba 10 mwaka 63. Mtu kutoka Uganda yanamhusu nini Mapinduzi na harakati za Zanzibar!! Tafakari
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.