Recent content by vampire123

  1. vampire123

    Kijana, usikubali kufanya ngono kinyume na maumbile; ni kilema cha maisha

    Kwa iyo kwenye ukoo wwnu mtu akizaliwa na hizo hisia ni kifo tu sio...alafu mkuu kuua si dhambi au
  2. vampire123

    Niliyoyashuhudia nilipofunguliwa macho

    As usual huu uzi niliforesee kuwa utakuwa UISLAM VS UKIRISTO
  3. vampire123

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    ndo mara yangu ya kwanza mkuu that why nimeuliza?
  4. vampire123

    Kwanini Utumishi wanatumia muda mrefu kuita watu kazini?

    Wakuu interview ya kielektroniki ndo ikoje? Usaili wa mahakamani huu
  5. vampire123

    Mwizi kachomwa moto muda huu Kariakoo

    nitumie iyo video pm mkuu
  6. vampire123

    Je, nifanyaje?

    Yaani unaomba mkopo alafu unaweka passport size umecheka...haupo serious ww
  7. vampire123

    Msaada: Nashindwa kuhimili tendo kwa muda mrefu

    Fanya mazoezi especially kukimbia, kegel exercise( ingia youtube), kula vizuri usisahau matunda kama nanasi na tikitiki maji(mbegu tafuna), kunywa maji mengi na pata muda wa kupumzika
  8. vampire123

    Nilichowafanya hawa mabinti wa IFM hawatanisahau

    Safi sana Umetuwakilisha vyema...Brotherhood we are proud
  9. vampire123

    SITASAHAU: Nilipaka mkongo na manzi hakutokea

    Boss un Atia dawa ya kutailia😂😂😂
  10. vampire123

    Nimepiga marufuku watoto wangu kwenda kanisani

    Ngoja waje team kukaririshwa plus kumezeshwa with no reasoning
  11. vampire123

    Dini ya Mashahidi wa Yehova ndiyo dini pekee iliyofanikiwa kutengeneza watu bora katika jamii

    kwa maana iyo yehova ni another name for Mungu like allah,budha,krishna n.k
  12. vampire123

    Dini ya Mashahidi wa Yehova ndiyo dini pekee iliyofanikiwa kutengeneza watu bora katika jamii

    kwani yehova ni nani? Tuanze hapa kwanza maana navyojua mm yehova ni another name ya yesu
  13. vampire123

    Kazi zilizotangazwa za mahakamani

    Naomba kuuliza kwa aliyeomba au aliyeajiriwa mahakamani...barua ya kuombea kazi na cv ni bora ziwe katika lugha ya kiswahili au kiingereza
  14. vampire123

    Mambo matano ya Hayati Rais Magufuli yaliyoshtua Dunia

    Labda dunia hii ya tatu( 3rd world countries)
Back
Top Bottom