Wakati uchaguzi mkuu wa marudio unakaribia kufanyika, kumekuwa na malalamiko kutoka kwa waumini na viongozi wa dini fulani kutokea Tanzania Bara kuwa kinachokusudiwa kufanywa Zanzibar ni kuwakandamiza wao, na wamefikia mbali zaidi na kusema ardhi au eneo la Zanzibar ni la dini yao tu ila watu wa...
Wafike salama na wafikishe ujumbe wao sehemu husika, ila uwe kwa manufaa ya taifa kwa ujumla usiwe umelenga kundi la watu wachache katika taifa hili linaloonekana kupoteza uelekeo sahihi kunakosababishwa na wenye nguvu wachache kutaka kujinenepesha wenyewe na kuwanyonya wanyonge.
Daaah!!! Ni dalili mbaya hizo, kama ni kweli imetokea hivyo, tujiandae kushuhudia maandamano na uhasama kati ya polisi na waislam.... Ila kuna kitu kinakosekana aidha kwa pande zote au upande mmoja, nacho ni BUSARA.
Vile vile wale watu wa huduma ya kwanza wasikae mbali na kibabu FARGIE kwenye mechi zitakazokutanisha timu yake na LIVERPOOL.Atakuwa anameza zile Big G zake mara kwa mara na kumletea matatizo.
We're preparing for EPL title 2011-2012.YOU'LL NEVER WALK ALONE,Kwani mapinduzi yanayofanywa na KING KENNY kwa kutumia kisu kikali SUAREZ na wenzake ni lazima ubingwa wa EPL 2011 - 2012 utue ANFIELD.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.