Recent content by Vam

  1. V

    Sijafungwa kitambaa usoni - Spika

    Duuh,hili jibu la Spaeker kwa Mh.Lema,nimelipenda sana.Sijui alitumia kanuni au ni matakwa yake binafsi kwa kutaza aliyoyatazama kama Jinsi,Uwiano wa Vyama,uwakilishi n.k?.Yaani waliomtwisha hilo zigo,wamemuonea sana maana wamempa kipindi kibaya sana,thats why alishtuka baada ya kuona takribani...
  2. V

    Spika Makinda, athibitisha 'Muswada Umeondolewa'

    Wapendwa,hivi mmeshagundua kwanini Wabunge wa Chama cha Magamba(Ccm)walikuwa wanashangilia baada ya Speaker Makinda kuahirisha swala la Muswaada wa Katiba?.Wamepata nafuu ya muda maana Chadema wangeandamana kuhusu katiba,Wao wangeonekana Hopeless mbele ya Jamii. Pili,wangeshindwa kujibu maswali...
  3. V

    Bungeni: Fungeni Milango Tupigane!

    Sometimes michango ya Wanazengo wa Jamii forum huwa inanifurahisha na kunipunguzia stress za Maisha.Yaani unaweza kucheka peke yako mbele ya PC na watu waliokaribu yako wakakushangaa.Mchangiaji anakwambia Chapa makonde hao mpaka washike adabu ,hizp ni chakula ya Wazee.Ila, Speaker wetu ni KILAZA...
  4. V

    Zitto amjia juu Waziri Mkuu: Aandika barua kuhoji matumizi ya "Stimulus Package"

    Huwa Watu hawanielewi pindi naposema kwamba,Tangu Nnji hii ipate uhuru toka kwa Bibi,haijawahi kutokea kuwa na Raisi na Waziri Mkuu Bomu.Ingawa EL alikuwa na Mapungufu yake ya kutaka kila senti inayopita mbele yake akwapue,lakini alikuwa na elements za uongozi ambazo zikuwa zinamfanya aongoze...
  5. V

    Waraka wa Hussein Bashe kwa NEC, CC na secretariet mpya ya CCM

    Tatizo lako Bashe,unafiki ndiyo kikwazo kwako.Yaani unaongea mambo mengi mazuri,unakuja kuharibu mwisho na kuondoa utamu na dhima nzima.Ukitaka kufanya mambo mema machoni mwa Jamii,achana na Unafiki
  6. V

    Mshauri wa CCM na Msekwa: JamiiForums tishio kwa CCM; wadai ni ya CHADEMA

    Wapendwa, Yaani nilipoona hii habari nilihuzunika na nikafurahi pia. Huzuni, hili tukio limenitia simanzi kwenye mambo kadhaa. Kwanza, mimi nilifikiri CCM na Viongozi wake kweli wamejivua Gamba kama tamko la Chairman Jk alivyotamka, kumbe ni tofauti kwani wanaishi kwa kuogopa Kivuli chao...
  7. V

    Shitambala wa Chadema Mbeya ahamia CCM - Chadema kuchukua hatua za kisheria

    Huwa sielewi nani kawaroga Ccm,hawajui wapi pa kuinvest na wapi pa kutoinvest.Wanapoteza hela,nguvu na resources nyingine kipuuzi kabisa bila sababu za Msingi.Haya,yangu macho na huo Mkutano utakajaa FFU na Mabaunsa wa Ccm
  8. V

    Shitambala wa Chadema Mbeya ahamia CCM - Chadema kuchukua hatua za kisheria

    Yangu macho.Landrover 10 za FFU na viongozi wa Ccm wa Mkoa ndiyo waalikwa wa huo mkutano
  9. V

    Maswali muhimu kwa JK baada ya kujivua gamba!

    Hii ni Plastic surgery ambayo Ccm na Mwenyekiti wao wameifanya.Hakuna kitu kibaya na kitakachoendelea kuwagharimu kama kulindana.Hilo tamko la kwamba wale watuhumiwa wa Ufisadi waliondani ya Chama wajiondoe kwenye wenyewe au watimuliwe kwenye uongozi wa chama kama watagoma,huo ni upuuzi wa hali...
  10. V

    Nape vs UVCCM!

    Hapa Jk anajaribu kucheza na akili za watu espacial Vijana na Wapinga ufisadi waliopo ndani ya Chama na nje ya Chama.Kitendo cha kumpendekeza Nape aingie kwenye Sekretarieti,ni kuangaria upepo wa Siasa unaendaje na Mustakabari wa chama mbeleni.Hataki na hapendi kuona Jumba bovu likimdondokea na...
  11. V

    Jamani mtu huyu kalikosea nini Taifa

    Nani kamfanya awe tajiri wa kiasi hicho cha kumuita unexplained Wealth?.Je ni mtu,watu,mfumo au kitu gani kilichomsababisha awe na Utajiri huo.Mimi nafikiri tusimlaumu sana yeye,ila tuangalie ni mfumo upi mbaya uliyompa yeye nafasi ya kutenda yote hayo na ni nani alikuwa ana uwezo wa kumzuia...
  12. V

    Udini wapenyezwa madai ya katiba; Maandamano yasifanyike Dar madai ni agenda ya kumng'a Rais

    Hakuna kitu kibaya sana kama kuwa masikini wa akili,fikra na mawazo endelevu.Utatumika kwa kila jambo la kipuuzi na la kifedhuri,utatoa matamko ya ovyo kama ZUZU ili mradi uhararishe Ujinga wako mbele ya macho na masikio ya wajinga wenzako.Fikiria kwanza kabla ya kuzungumza ujinga na upuuzi wako...
  13. V

    NEC wajadili kuwavua uanachama wa CCM Lowassa, Rostam na Chenge

    Tatizo Jk na Uongozi mzima wa Ccm hawataki kujua tatizo nini mpaka Chama kimeshuka Umaarufu na kupoteza sifa mbele ya Wananchi wa Kawaida.Issue siyo kuondoa Secretariati ilyokuwepo,ila ni mfumo mzima wa uongozi toka Chamani na Serikalini.Kama rushwa,urasimu,utawala usiofuata sheria na haki za...
  14. V

    NEC wajadili kuwavua uanachama wa CCM Lowassa, Rostam na Chenge

    Hapana kazi ipo Wapendwa.Rostam ndiye aliyeanzisha kampuni hewa ya Kagoda ili aweze kuchota hela za EPA na zitumike kwenye Kampeni za Jk 2005,sasa swala la kumvua uanachama ni gumu sana kwa Jk kulitekeleza.Labda wamvue uanachama pindi Jk akiondoka Madarakani na siyo sana
Back
Top Bottom