Sigma
JF-Expert Member
- Feb 26, 2011
- 5,006
- 1,254
I love Tz, no wonder kina bashe wanang'ang'ania uraiaPole sana MDANGANYIKA mwenzangu kwani asilimi 90 ya hayo makampuni HEWA au yalikuwa yamekufa na yakafufuka kuvuta mpunga, au ni ya mfukoni.
Hivi unajau ni nani alikuwa anaidhinisha kibali kuwa hii kampuni imehathirika? I guess it was CRDB Bank, Unategemea nini kutoka kwa KIMEI?