Kwani na wewe huwa unaomba hela ya "sabuni" mkuu? Siku hizi nafikiri wanaiita hela ya salon.Sijui hao wadada huwa mpaka wakitoka kwenye starehe za kimwili ndio wanapandwa na ashiki ya kutengenezwa nywele au huwa ni tozo ya tendo wanalipisha indirectly?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.