Recent content by valuablecock

  1. valuablecock

    Hiki kitanda kinaweza kutengenezwa hapa Tanzania?

    Kwa hiyo laki nne, mbao aina gani itatumika,ngozi au pvc ya ubora gani na bei gani kwa meter? Mfumo wa umeme na radio etc gharama zikoje?
  2. valuablecock

    Yabainika, Tunda(Cleopatra) anatumia zaidi ya laki 3 na nusu kwa siku .

    Ana jishughulisha na nini hapa mjini?
  3. valuablecock

    Zimbabwe: Rais Robert Mugabe ajiuzulu Urais kabla ya Bunge kumuwajibisha

    Kijana wake ameshasema hata 2025 kama katiba itaruhusu.Wenye akili wamesha elewa.
  4. valuablecock

    Naomba buku moja

    Hivi mkuu una pesa ya kuweka bundle ukapost huu uzi ila buku la kumpa mtu anayekukarimu kwa penzi hauna au ni mkono wa birika?
  5. valuablecock

    Zimbabwe: Rais Robert Mugabe ajiuzulu Urais kabla ya Bunge kumuwajibisha

    Hiyo one day natamani iwe usiku wa leo.
  6. valuablecock

    Underrated Artists from Tanzania

    Hivi ni kweli msanii mwenye sifa kwa kiasi cha kustahili tuzo haumjui? Wahenga hawakukosea waliposema, MASIKINI AKIPATA? Ma**** hulia mbwata.
  7. valuablecock

    Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

    Unaonaje hiyo package ikinihusisha na mimi mwenyewe?
  8. valuablecock

    Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

    Nitakutumia usijalil, nitume ya sabunu au ya wine na nyama baada ya muda wa kazi?
  9. valuablecock

    Wadada wenye pesa wana mapenzi ya dhati sana kuliko wasio nazo

    Kwani na wewe huwa unaomba hela ya "sabuni" mkuu? Siku hizi nafikiri wanaiita hela ya salon.Sijui hao wadada huwa mpaka wakitoka kwenye starehe za kimwili ndio wanapandwa na ashiki ya kutengenezwa nywele au huwa ni tozo ya tendo wanalipisha indirectly?
  10. valuablecock

    Kama hii ni kweli basi Wanaume wengi tunachekwa sana Vitandani

    Ngoja akusikie asiependa watu wa kaskazini...au haujui hauwezi kumuambia yeye hivyo?
  11. valuablecock

    Kama hii ni kweli basi Wanaume wengi tunachekwa sana Vitandani

    Nenda google search manii ni nini, wewe unajua kichaga pekee au?
  12. valuablecock

    Kama hii ni kweli basi Wanaume wengi tunachekwa sana Vitandani

    Alikusudia kusema mbegu za kiume au manii.
Back
Top Bottom