Recent content by valence vivianus

  1. V

    UDOM: Special Diploma tunaenda au hatuendi?

    dah thankc xana mdau. . .hv inachukua mda gan ad mkopo kutoka maana nahc itabd twend na pesa ya ktoxha
  2. V

    Diploma Holders waliopata mkopo

    dah mdau mbona unachochangia na ktu klichoulzwa n tofaut axeee!!
  3. V

    UDOM: Special Diploma tunaenda au hatuendi?

    Habarini za saa hizi wadau wa JF naomba kufahamishwa utaratibu wa utoaji mikopo kwa wanafunzi walochaguliwa kujiunga na stashahada maalum katika chuo kikuu cha dodoma. Maana kuna baadhi ya wanafunzi hao walituma maomb ya mkopo na bado hawajapata...
  4. V

    Diploma Holders waliopata mkopo

    wadau inakuaje kuhusu hawa special diploma . . maana baadh yao wameomba mkopo na hakuna ata m1 alopata kwa anaejua utaratibu wa kutoa mkopo kwa watu hawa naomba anifahamishe japo kwa kifupi maana naona watu wameduwaa hawajui wafanye nn na tarhe ya kwenda chuo ndo tarh 14. . . . NATANGULIZA...
  5. V

    First year wote wa 2015/2016 UDOM tukutane hapa

    hahahahah. . . . magodoro haina haja ya kwenda nayo kjana kla ktu kpo utakikuta. . pia angalia ucje enda na tranka halitakiw axeee
  6. V

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    unajaza form zote icpokua registratxn form tu!. . . .
  7. V

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    imewekwa kwenye admission letter yako jaribu kuangalia vzur
  8. V

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    tuition fee ni 900000 sio hyo yakwako pia mnatakiwa msome muelewe kwanza ndo muingie hum jukwaan nakutoa hoja sio kukaa mnabishana kwakitu ambacho hamjakisoma nakukielewa SOMA VIzur admission letter yako na uielewe ndo uje utoe yako hoja pia n vizur mkipunguza nchecheto
  9. V

    Waliochaguliwa kujiunga na Stashahada ya Elimu 2015/2016-UDOM

    bado hakuna taarfa inayotuhusu lakin hum ndan mmepoa sana aisee
Back
Top Bottom