Habarini za saa hizi wadau wa JF naomba kufahamishwa utaratibu wa utoaji mikopo kwa wanafunzi walochaguliwa kujiunga na stashahada maalum katika chuo kikuu cha dodoma.
Maana kuna baadhi ya wanafunzi hao walituma maomb ya mkopo na bado hawajapata...
wadau inakuaje kuhusu hawa special diploma . . maana baadh yao wameomba mkopo na hakuna ata m1 alopata kwa anaejua utaratibu wa kutoa mkopo kwa watu hawa naomba anifahamishe japo kwa kifupi maana naona watu wameduwaa hawajui wafanye nn na tarhe ya kwenda chuo ndo tarh 14. . . . NATANGULIZA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.