Nchi hii inaendeshwa na sheria za nchi..wizara ya elimu imepewa agizo ..nayo imelitangaza..sasa..ili uweze kufanya hyo biashara..basi huna budi kufanya..kama sheria inavyo agiza...bei elekezi lazima ifatwe...shule za serikali..elimu bure..mpaka kidato cha nne...wao wamepewa bei elekezi...sasa...
ikiwa tumetaka mabadiliko mabadiliko ni mimi na wewe kuna ubaya gani ikiwa wabunge watapunguziwa posho ...ili kuwe na uwiano baina ya walio nacho na wasio nacho ipo haja ya kupunguza hizo posho zao...pili hiki ni kipindi cha mh..Rais kupunguza matumizi mabaya ya fedha ...kila idara ...ili tuweze...
Stendi kuu ya mabasi ubungo kuna mambo ya ajab sana ili uingie ukasafiri lazima ulipe kiingilio pale getin lakin huko ndani haswa kipindi hiki cha mvua mvua ni pachafu sana matope..hakuna vyoo vya kutosha vilivyopo ni vichafu sana ...mara unaaeza ona chupa za maji zenye mikojo...yaan..mpk...
Stendi kuu ya mabasi ubungo kuna kiingilio pale getini lakini kule ndani mazingira siyo rafiki kabisa na abiria na mvua hzi ndio balaa kabisa matope yaani ni pachafu sana sijui hizi hela huwa wanachukua kwa ajili ya nini?
Ikiwa hawawathamini hao waleta pesa ambao ni abiria, kuna vibanda humo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.