Mara anakutaka, mara mtamu. Kuna sehemu umesema, "...mmewe ni mtumishi wa serikali." [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Endelea tu mkuu, ila iko siku utaumia.
Suala la ndoa kwa sasa limechukua sura mpya. Kuna baadhi ya wasomi hudhani elimu ni kitu pekee cha kutumia kwenye ndoa. Yaani ni mwanamke lakini anajua akiwa mwanaharakati hadi kwenye ndoa atafanikiwa. Never!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.